Watanzania Madanguroni China (Pt. 3): Munira alivyojikuta na ujauzito usiokuwa na baba
Munira anatuma salamu nyumbani Tanzania kuwaeleza adha anayokutana nayo, wasichana wenzake walioko China wanagundua na kumweka kitimoto. Hali inakuwa tete anatoweka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Mabinti Watanzania wanavyotumikishwa madanguroni China (Pt. 2)
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Mabinti Watanzania wanavyotumikishwa madanguroni China-2
11 years ago
Mwananchi11 Jul
Munira akumbana na kizaazaa safarini Macau, China (Pt 4)
11 years ago
Habarileo08 Aug
Baba mzazi ampa ujauzito mwanawe
MKAZI wa Kijiji cha Bwekela wilayani Igunga mkoani Tabora, Kashinje Shima, anatafutwa na Uongozi wa kijiji hicho, kwa kumpa ujauzito mwanawe wa kumzaa mwenye umri wa miaka 17.
11 years ago
Dewji Blog09 Aug
Baba adaiwa kumbaka binti na kumpa ujauzito
Na Mwandishi wetu
SERIKALI ya Kijiji cha Bwekela,Kitongoji cha Mwina, kata ya Igoweko,wilayani Igunga, Mkoa wa Tabora inamtafuta mkazi mmoja wa Kijiji hicho, Kashinje Shima kwa tuhuma za kumbaka na kumpa mimba mtoto wake wa kike,Mbalu Kashinde mwenye umri wa miaka 17.
Mama mzazi wa mtoto huyo,Jeni Njiro alisema tukio hilo lilitokea Julai,23,mwaka huu baada ya binti huyo kugundulika kuwa na ujauzito wa miezi saba sasa.
Alisema kabla ya kugundua kitendo hicho cha kinyama kilichokuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-97HxmTydtV8/U9vVfT8-6oI/AAAAAAAAPtM/z5vc4e5pEvY/s72-c/1.jpg)
wanachokifanya UKAWA ni Usanii usiokuwa na tija kwa Taifa - Nape
![](http://2.bp.blogspot.com/-97HxmTydtV8/U9vVfT8-6oI/AAAAAAAAPtM/z5vc4e5pEvY/s1600/1.jpg)
Chama Cha Mapinduzi kimewastukia Ukawa na kusema wanachofanya ni Usanii usiokuwa na tija mbele ya mambo ya msingi kwa Taifa la Tanzania, akizungumza na mwaandishi wa habari hizi Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye alisema hoja zote zinazotolewa na UKAWA zina majibu kwenye Sheria na Kanuni zinazoendesha Bunge la Katiba ,CCM pia imewashukia UKAWA kwa kuwatukana na kuwadhalilisha viongozi wa dini ambao wamekuwa wakisisitiza UKAWA kurudi Bungeni.
CCM yawaomba wabunge...
9 years ago
Bongo Movies06 Nov
Luis Atoboa Jinsi Alivyojikuta Akipendana na Wema Sepetu
Wiki iliyopita picha za mtandaoni zilionesha kuwa Wema Sepetu na mshiriki wa Big Brother Hotshots kutoka Namibia, Luis Munana wamefunga ndoa.
Hakuna taarifa rasmi kutoka kwa wawili hao baada ya ‘ndoa’ hiyo kufungwa lakini Luis ameimbia Clouds E ya Clouds FM kuwa picha zilizosambaa n halisi na zilipigwa kwenye tukio hilo lililoshuhudiwa na familia zao zote mbili.
“Kwa sasa siwezi kuzungumzia chochote kuhusu picha hizo na ndio maana niliamua kuzifuta kwenye akaunti yangu kwakuwa lilikuwa...
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Watanzania kunyongwa China
9 years ago
Bongo504 Nov
Luis Munana afichua siri ya jinsi alivyojikuta akipendana na Wema Sepetu
![12063204_170966306581270_1126774933_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12063204_170966306581270_1126774933_n-300x194.jpg)
Wiki iliyopita picha za mtandaoni zilionesha kuwa Wema Sepetu na mshiriki wa Big Brother Hotshots kutoka Namibia, Luis Munana wamefunga ndoa.
Hakuna taarifa rasmi kutoka kwa wawili hao baada ya ‘ndoa’ hiyo kufungwa lakini Luis ameimbia Clouds E ya Clouds FM kuwa picha zilizosambaa n halisi na zilipigwa kwenye tukio hilo lililoshuhudiwa na familia zao zote mbili.
“Kwa sasa siwezi kuzungumzia chochote kuhusu picha hizo na ndio maana niliamua kuzifuta kwenye akaunti yangu kwakuwa lilikuwa...