Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania Madanguroni China (Pt. 3): Munira alivyojikuta na ujauzito usiokuwa na baba

Munira anatuma salamu nyumbani Tanzania kuwaeleza adha anayokutana nayo, wasichana wenzake walioko China wanagundua na kumweka kitimoto. Hali inakuwa tete anatoweka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mabinti Watanzania wanavyotumikishwa madanguroni China (Pt. 2)

>Jana katika tovuti hii, kulikuwa na habari ambayo inamuhusu binti wa Kitanzania Munira Mathias (siyo jina lake halisi) ambaye alipelekwa China kwa ahadi ya kupewa kazi hotelini, lakini alipofika hadithi iligeuka na alianza kutumikishwa katika biashara ya ukahaba.

 

11 years ago

Mwananchi

Mabinti Watanzania wanavyotumikishwa madanguroni China-2

>Jana katika tovuti hii, kulikuwa na habari ambayo inamuhusu binti wa Kitanzania Munira Mathias (siyo jina lake halisi) ambaye alipelekwa China kwa ahadi ya kupewa kazi hotelini, lakini alipofika hadithi iligeuka na alianza kutumikishwa katika biashara ya ukahaba.

 

11 years ago

Mwananchi

Munira akumbana na kizaazaa safarini Macau, China (Pt 4)

Munira Mathias, binti wa Kitanzania aliyekuwa akiishi China akitumikishwa kufanya ukahaba, alikimbilia Jimbo la Macau akitokea Guangzhou, baada ya muda wa viza yake kumalizika.

 

11 years ago

Habarileo

Baba mzazi ampa ujauzito mwanawe

MKAZI wa Kijiji cha Bwekela wilayani Igunga mkoani Tabora, Kashinje Shima, anatafutwa na Uongozi wa kijiji hicho, kwa kumpa ujauzito mwanawe wa kumzaa mwenye umri wa miaka 17.

 

11 years ago

Dewji Blog

Baba adaiwa kumbaka binti na kumpa ujauzito

girl raped

Na Mwandishi wetu

SERIKALI ya Kijiji cha Bwekela,Kitongoji cha Mwina, kata ya Igoweko,wilayani Igunga, Mkoa wa  Tabora inamtafuta mkazi mmoja wa Kijiji hicho, Kashinje Shima kwa tuhuma za kumbaka na kumpa mimba mtoto wake wa kike,Mbalu Kashinde mwenye umri wa miaka 17.

Mama mzazi wa mtoto huyo,Jeni Njiro alisema tukio hilo lilitokea Julai,23,mwaka huu baada ya binti huyo kugundulika kuwa na ujauzito wa miezi saba sasa.

Alisema kabla ya kugundua kitendo hicho cha kinyama kilichokuwa...

 

11 years ago

Michuzi

wanachokifanya UKAWA ni Usanii usiokuwa na tija kwa Taifa - Nape


     Chama Cha Mapinduzi kimewastukia Ukawa na kusema wanachofanya ni Usanii usiokuwa na tija mbele ya mambo ya msingi kwa Taifa la Tanzania, akizungumza na mwaandishi wa habari hizi Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye alisema hoja zote zinazotolewa na UKAWA zina majibu kwenye Sheria na Kanuni zinazoendesha Bunge la Katiba ,CCM pia imewashukia  UKAWA kwa kuwatukana na kuwadhalilisha viongozi wa dini ambao wamekuwa wakisisitiza UKAWA kurudi Bungeni.

     CCM yawaomba wabunge...

 

9 years ago

Bongo Movies

Luis Atoboa Jinsi Alivyojikuta Akipendana na Wema Sepetu

Wiki iliyopita picha za mtandaoni zilionesha kuwa Wema Sepetu na mshiriki wa Big Brother Hotshots kutoka Namibia, Luis Munana wamefunga ndoa.

Hakuna taarifa rasmi kutoka kwa wawili hao baada ya ‘ndoa’ hiyo kufungwa lakini Luis ameimbia Clouds E ya Clouds FM kuwa picha zilizosambaa n halisi na zilipigwa kwenye tukio hilo lililoshuhudiwa na familia zao zote mbili.

“Kwa sasa siwezi kuzungumzia chochote kuhusu picha hizo na ndio maana niliamua kuzifuta kwenye akaunti yangu kwakuwa lilikuwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watanzania kunyongwa China

Watanzania zaidi ya 50 waliokamatwa wakijihusisha na biashara ya dawa za kulevya wahukumiwa kifo China

 

9 years ago

Bongo5

Luis Munana afichua siri ya jinsi alivyojikuta akipendana na Wema Sepetu

12063204_170966306581270_1126774933_n

Wiki iliyopita picha za mtandaoni zilionesha kuwa Wema Sepetu na mshiriki wa Big Brother Hotshots kutoka Namibia, Luis Munana wamefunga ndoa.

12063204_170966306581270_1126774933_n

Hakuna taarifa rasmi kutoka kwa wawili hao baada ya ‘ndoa’ hiyo kufungwa lakini Luis ameimbia Clouds E ya Clouds FM kuwa picha zilizosambaa n halisi na zilipigwa kwenye tukio hilo lililoshuhudiwa na familia zao zote mbili.

“Kwa sasa siwezi kuzungumzia chochote kuhusu picha hizo na ndio maana niliamua kuzifuta kwenye akaunti yangu kwakuwa lilikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani