Watanzania milioni 25 wapima Ukimwi
WATANZANIA milioni 25.4 wamejitokeza kupima Ukimwi kwa hiari, ikiashiria kwamba nusu ya Watanzania wamepima kujua hali yao kuhusu maambukizi ya Ukimwi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bPMMzfi0-BI/U47MhBwSlKI/AAAAAAAFne8/y7dq4ZYYtXo/s72-c/unnamed+(89).jpg)
wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa yatumia shilingi milioni 8.5 kupambana na ukimwi
10 years ago
Habarileo22 Nov
TACAIDS: Watanzania bado hawana uelewa wa ugonjwa wa Ukimwi
TUME ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imesema kuongezeka kwa matumizi ya tiba mbadala katika ugonjwa wa Ukimwi kunatokana na zaidi ya asilimia 50 ya watanzania licha ya kusikia kuhusu ugonjwa huo, bado hawana uelewa wake.
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Watanzania Washauriwa Kujenga Kizazi Kisichokuwa na Maambukizi ya UKIMWI- “Kufikia sifuri tatuâ€
![](http://3.bp.blogspot.com/-MB9MihQwLjI/Vl2NKC3bSSI/AAAAAAAAIQo/UIQpvrQ9D3k/s1600/A%2B1.jpg)
Dk. Nalin Nag Mshauri Mwandamizi wa madawa, aleji, upungufu wa kinga pamoja na magonjwa ya kuambukiza kutoka hospitali za Apollo; New Delhi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-zmIzUSFjQ8o/Vl2NLHMx-1I/AAAAAAAAIQw/korGT97Wdwo/s640/A%2B2.png)
Na Mwandishi wetu,
Siku ya UKIMWI duniani inaadhimishwa tarehe mosi desemba kila mwaka, kutoa fursa kwa jamii kuungana ulimwenguni kupiga vita gonjwa la UKIMWI, kuwapa moyo wale wote wanaoishi na virusi vya ukimwi na kuwakumbuka wote waliokufa kwa ugonjwa huu. Siku ya UKIMWI duniani iliadhimishwa kwa mara ya kwanza mwaka 1988.
Zaidi ya miaka 30 toka...
10 years ago
Habarileo22 Jun
Watanzania milioni 24 kupiga kura
OFISI ya Taifa ya Takwimu imetoa makadirio ya idadi ya watu wanaotarajiwa kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015 ambao wanakisiwa kuwa watafikia milioni 24.2 nchi nzima.
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Watanzania maskini wafikia milioni 4.2
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Watanzania milioni 7 maskini wa kutupwa
ASILIMIA 9.7 ya Watanzania, sawa na watu milioni 7.2 wanakabiliwa na umaskini uliokithiri nchini. Kutokana na hali hiyo, serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imeendelea na miradi ya...
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watanzania milioni 14 hawajui kusoma, kuandika?
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Watanzania kufikia milioni 50 mwaka 2016
RAIS Jakaya Kikwete amesema kwa sasa Tanzania ina watu milioni 48 na ifikapo mwaka 2016, kutakuwa na watu milioni 50 kutokana na ongezeko la asilimia 2.7 la kila mwaka. Akizungumza...
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Watanzania wasaka Sh9 milioni leo