Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania milioni 25 wapima Ukimwi

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid.WATANZANIA milioni 25.4 wamejitokeza kupima Ukimwi kwa hiari, ikiashiria kwamba nusu ya Watanzania wamepima kujua hali yao kuhusu maambukizi ya Ukimwi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa yatumia shilingi milioni 8.5 kupambana na ukimwi

NA RAMADHANI JUMA  OFISI YA MKURUGENZI-KALAMBO   OFISI ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa kupitia kitengo cha UKIMWI kimetumia zaidi ya shilingi milioni 8.5 kwa ajili ya kuimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa huo katika wilaya hiyo.   Fedha hizo zimetumika kuwanunulia wanafunzi yatima wanaoishi katika mazingira magumu sare za shule, viatu pamoja vifaa vya kujifunzia ikiwemo madaftari na kalamu, ambapo Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Godfrey Sichona alikabidhi kwa...

 

10 years ago

Habarileo

TACAIDS: Watanzania bado hawana uelewa wa ugonjwa wa Ukimwi

Mwenyekiti Mtendaji wa Tume hiyo, Dk Fatma MrishoTUME ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imesema kuongezeka kwa matumizi ya tiba mbadala katika ugonjwa wa Ukimwi kunatokana na zaidi ya asilimia 50 ya watanzania licha ya kusikia kuhusu ugonjwa huo, bado hawana uelewa wake.

 

9 years ago

Dewji Blog

Watanzania Washauriwa Kujenga Kizazi Kisichokuwa na Maambukizi ya UKIMWI- “Kufikia sifuri tatu”

Dk. Nalin Nag Mshauri Mwandamizi wa madawa, aleji, upungufu wa kinga pamoja na magonjwa ya kuambukiza kutoka hospitali za Apollo; New Delhi.

Na Mwandishi wetu,

Siku ya UKIMWI duniani inaadhimishwa tarehe mosi desemba kila mwaka, kutoa fursa kwa jamii kuungana ulimwenguni kupiga vita gonjwa la UKIMWI, kuwapa moyo wale wote wanaoishi na virusi vya ukimwi na kuwakumbuka wote waliokufa kwa ugonjwa huu. Siku ya UKIMWI duniani iliadhimishwa kwa mara ya kwanza mwaka 1988.

Zaidi ya miaka 30 toka...

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania milioni 24 kupiga kura

Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva.OFISI ya Taifa ya Takwimu imetoa makadirio ya idadi ya watu wanaotarajiwa kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015 ambao wanakisiwa kuwa watafikia milioni 24.2 nchi nzima.

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania maskini wafikia milioni 4.2

Ripoti mpya iliyotolewa na Benki ya Dunia (WB) inaonyesha Watanzania milioni 4.2 wanaishi chini ya mstari wa umaskini kwa kupata Sh886 kwa siku.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania milioni 7 maskini wa kutupwa

ASILIMIA 9.7 ya Watanzania, sawa na watu milioni 7.2 wanakabiliwa na umaskini uliokithiri nchini. Kutokana na hali hiyo, serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imeendelea na miradi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania milioni 14 hawajui kusoma, kuandika?

Wiki iliyopita tulichapisha habari ya kushtusha kwamba Watanzania milioni 14 hawajui kusoma wala kuandika. Ni habari ya kushtusha kwa sababu idadi hiyo ya wananchi mbumbumbu ni kubwa mno, kwa maana kwamba ni sawa na asilimia 33 ya Watanzania wote ambao ni milioni 44.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania kufikia milioni 50 mwaka 2016

RAIS Jakaya Kikwete amesema kwa sasa Tanzania ina watu milioni 48 na ifikapo mwaka 2016, kutakuwa na watu milioni 50 kutokana na ongezeko la asilimia 2.7 la kila mwaka. Akizungumza...

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania wasaka Sh9 milioni leo

Baada ya kuchuana kwa kipindi cha siku tatu, leo wasanii watatu kutoka Tanzania wataibuka na kitita cha Sh9 milioni na tuzo ikiwa watafanikiwa kuwa washindi wa Nyimbo za Amani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani