Watanzania wanaoishi Visiwani Comoro waanzisha rasmi Jumuiya yao
![](http://1.bp.blogspot.com/-vYgIllE9xTI/U-hcvlLCo4I/AAAAAAAF-RU/cuo4I5Ze0mE/s72-c/unnamed+(25).jpg)
Jana tarehe 10 Agosti 2014, Watanzania wanaoishi katika Muungano wa Visiwa vya Comoro waliamzisha rasmi Jumuiya yao. Lengo la kuanzishwa kwa Jumuiya hiyo ni kuwaunganisha wanachama wake, kuwawezesha kushirikiana katika kutambua fursa za maendeleo na kutoa mchango kwa taifa lao la Tanzania. Mkutano huo ulifanyika katika Ukumbi wa Mikuta wa Ubalozi wa Tanzania, Moroni. Wakati akifungua mkutano huo, Mhe. Chabaka Kilumanga, Balozi wa Tanzania nchini Comoro aliwaeleza Watanzania hao kwamba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi28 Jul
WATANZANIA WANAOISHI VISIWANI COMORO WAANDAA FUTARI YA PAMOJA KWA KUSHIRIKIANA NA UBALOZI
Jamii ya Watanzania wanaoishi Visiwani Comoro wameandaa futari ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0mBuDM0BGuI/UzEAabnb9uI/AAAAAAAFWGI/RTL1qsQ5xb0/s72-c/images.jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA HOUSTON: MH. BALOZI LIBERATA MULAMULA KUWA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE YA KUSIMIKA VIONGOZI WAPYA WA JUMUIYA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-0mBuDM0BGuI/UzEAabnb9uI/AAAAAAAFWGI/RTL1qsQ5xb0/s1600/images.jpg)
Mheshimiwa Balozi wa Tanzania hapa US na Mexico, Mh.Liberata Mulamula ndiye atakaekuwa mgeni rasmi wa tukio hili la kihistoria katika jumuiya yetu ya Houston. Wote mnakaribishwa ili tusherekee na tuweke...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wafanya biashara wa chakula mkoa wa Dar Es Salaam waanzisha jumuiya ya Mama na Baba lishe!
Baadhi ya akina mamalishe na babalishe wakiwa katika moja ya majumuiko yao (Picha kwa msaada wa mtandao wa Global Publisher.
Na Rabi Hume
Wafanya biashara wa kuuza chakula katika mkoa wa Dar es Salaam wameanzisha jumuiya ya wafanya biashara hao ikiwa na lengo la kuunganisha wafanyabiashara hao, kulinda haki zao na kuzitafutia ufumbuzi wapatapo tatizo.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa jumuiya hiyo, Ramadhani Mhonzu amesema kuwa wameamua kuanzisha jumuiya hiyo ili iweze...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-vuzILx0nhoU/VYdaMHINjeI/AAAAAAAAe_A/xABTgPhNEmY/s72-c/INDIA%2B058.jpg)
Rais Kikwete aongea na Watanzania wanaoishi India
![](http://4.bp.blogspot.com/-vuzILx0nhoU/VYdaMHINjeI/AAAAAAAAe_A/xABTgPhNEmY/s640/INDIA%2B058.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TMi_G0PCCp8/VEfzx0E6AWI/AAAAAAAGswc/LTESUYC-we8/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
shirika la ndege la flydubai lakaribishwa rasmi visiwani Zanzibar
10 years ago
Vijimambo10 Jun
RAIS WA ZANZIBAR DR. SHEIN AONGEA NA WATANZANIA WANAOISHI UJERUMANI MJINI WUERZBURG
![](http://api.ning.com/files/-hwEeqCyyzeMMS4xfcYfhOlgVGrWRHd4e-EdjpgwHIiyeRA3JoEY1EipEak2ecBe3sO1JOgHj9RqIE07sIRhZtc8kUOehZ3J/2.jpg)
![](http://api.ning.com/files/-hwEeqCyyzdKEf9y6icademgqNfeyesvYg*rkFf8nIlTJr1FRFDxlEglar1xvmvrLDjd6R5TKxLeUF*V*8IZbNkIxwlGNCHO/3.jpg)
![](http://api.ning.com/files/-hwEeqCyyzdWIUOKKtqo4iyokn6R812LTITQdQHKRqLAuljkEhPK68zwlTXqS84FYNIPzhK*twdCqmjVdUZAljpa03aVDxjo/4.jpg)
![](http://api.ning.com/files/-hwEeqCyyzd8vejqvyLyHvo8-gaFS0Wg-gb20i1CSh3S63oT*et5AW9oUTtBLxPzJ6h1E8p7-sd3d0yrbi71WYkxrJdfuLFj/5.jpg)
WUERZBURG,...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZUNGUMZA NA WATANZANIA WANAOISHI NCHINI NIGERIA
10 years ago
Dewji Blog21 May
UNESCO imeahidi kuwasaidia Watanzania kukabili dhuluma dhidi ya wanaoishi na albinism
Kiongozi wa ofisi na mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (kulia) akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo (kushoto) alipomtembelea ofisini kwake jijini Mwanza akiwa ameambatana na Mbunge wa Viti Maalum CCM, anayetetea maslahi ya watu wenye albinism, Mh. Al-Shaymaa Kwegyir (wa pili kulia) pamoja na Semeni Kingaru (wa tatu kulia).(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu, Mwanza
SHIRIKA...
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Skylight Band wafanya uzinduzi rasmi wa nyimbo yao mpya ya Kariakoo pamoja na kutambulisha Studio yao mpya
![skylight band 2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/skylight-band-2.jpg)
Meneja wa Band ya Skylight Aneth Kushaba akielezea kwa kina uzinduzi Rasmi wa wimbo wao Mpya unaokwenda kwa jina la Kariakoo ambapo uzinduzi huo uliambatana na Video pamoja na Audio. Pia ametambulisha Rasmi Studio ya kurekodi Muziki ambapo sasa nyimbo zao watakuwa wanafanyia katika Studio yao.
![skylight band](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/skylight-band.jpg)
Kutoka kushoto ni mmoja wa waimbaji wa Skylight Band Sam Mapenzi, (katikati) ni Meneja wa Band hiyo Aneth Kushaba pamoja na Mwimbaji mwengine wa Skylight Band Joniko Flower wakiwa wanazungumza...