Watanzania waombea Nigeria ifungwe
Tembea uone. Wakati Watanzania waliopo nchini Tanzania pamoja na Waafrika wengine wakiombea Nigeria ishinde mechi zake na kuing’arisha vyema nyota ya Afrika, kumbe maisha ni tofauti kwa Watanzania wanaoishi Brazil. Karibu wengi wanaombea Nigeria ifungwe mechi zake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Wanaharakati waombea amani Burundi
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Wasanii waombea amani Uchaguzi Mkuu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aOA0EiUkKFQ/XoXYZmUSAKI/AAAAAAALl14/PDD_qhaVlrwFXIqJIQfNYT_wMAeMQdPOwCLcBGAsYHQ/s72-c/KUBENEA%2BHOJA.jpg)
MBUNGE WA UBUNGO SAID KUBENEA ASHAURI MISIKITI, MAKANISA IFUNGWE KUEPUKA CORONA
MBUNGE wa Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam Said Kubenea ameshauri ni kwanini misikiti na makanisa yasifungwe ili kuepusha waumini wa dini hizo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 (Corona).
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, Kubenea amesema pamoja na hatua mbalimbali ambazo zinachukuliwa na Serikali na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto lakini iko haja ya kuchukua hatua zaidi ya zilizopo sasa.
Kubenea amesema kwa mujibu wa Shirika la Afya...
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Tekno wa Nigeria kathibitisha Kolabo za Watanzania hawa watatu….
Hit Maker wa singo ya Duro kutoka Nigeria Tekno leo ametaja Wasanii wa Kitanzania ambao tayari ameshafanya nao kolabo ambao hajui lini nyimbo hizi zitatolewa rasmi. Kwenye interview yake na kipindi cha XXL kutoka Clouds Fm Tekno amesema mpaka sasa amesharekodi na Rummy,Vanessa Mdee na Diamond Platnumz. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka […]
The post Tekno wa Nigeria kathibitisha Kolabo za Watanzania hawa watatu…. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZUNGUMZA NA WATANZANIA WANAOISHI NCHINI NIGERIA
9 years ago
Bongo508 Dec
Watanzania washindwa kung’ara kwenye ‘The Future Awards Africa 2015’ Nigeria
![Vanessa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/Vanessa-300x194.jpg)
Tanzania ilikuwa na wawakilishi watatu kwenye tuzo za ‘The Future Awards Africa’ (TFAA) za mwaka huu zilizotolewa Jumapili Dec.6 huko jijini Lagos, Nigeria. Miongoni mwa waliotuwakilisha alikuwemo muimbaji wa ‘Never Ever’ Vanessa Mdee.
Bahati haikuwa yetu safari hii kwani hakuna muwakilishi wetu yeyote aliyeibuka na tuzo. Mbali na Vanessa wengine waliotuwakilisha ni Felix Richard Manyogote na Witness Sanga. Vanessa alienda Nigeria kuhudhuria tuzo hizo.
Mwaka jana (2014) Diamond Platnumz...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CaBTeWbQKlM/XphABBMi-KI/AAAAAAALnJ4/kCg1BZ7Y-noBDdFkrQ45WglBBrgHraddgCLcBGAsYHQ/s72-c/29229496-9983-49eb-8c08-180542859934.jpg)
KIGOGO BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA AMBAYE NI RAIA WA NIGERIA ANASWA JIJINI DAR, WAMO PIA WATANZANIA WAWILI...
![](https://1.bp.blogspot.com/-CaBTeWbQKlM/XphABBMi-KI/AAAAAAALnJ4/kCg1BZ7Y-noBDdFkrQ45WglBBrgHraddgCLcBGAsYHQ/s640/29229496-9983-49eb-8c08-180542859934.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-1QW2hjy0Wbk/XphAB0QuDNI/AAAAAAALnKA/ULe5CkKqn60nEwrb-rXcuLG4SiEecWe_QCLcBGAsYHQ/s640/85036a40-6c14-426e-bcbd-9713b9c07805.jpg)
Watuhumiwa wa biashara ya dawa za kulevya wakiwa chini ya ulinzi baada ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kuwanasa jijini Dar es Salaam.
![](https://1.bp.blogspot.com/-il6JBypXrMc/XphABWgQ4rI/AAAAAAALnJ8/AFkssFUMb7IcE8tfwQ-6yHcgvBi1rL_8gCLcBGAsYHQ/s640/ad35ca83-39ef-4e13-bb84-eb573b11fdb3.jpg)
Na Ripota Wetu,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na kupambana na Dawa za Kulevya jana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xp9s-dMJ914/XrViSRT4MSI/AAAAAAALpfQ/mJWEizrYY3gbDZpxfk71dWKekw2nqmEMwCLcBGAsYHQ/s72-c/94084611_2818284451645258_6601521376068816212_n.jpg)
UPELELEZI KATIKA KESI YA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA ZAIDI YA KILO 270 INAYOMKABILI RAIA WA NIGERIA, WATANZANIA WAWILI BADO HAUJAKAMILIKA
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV
UPELELEZI katika kesi ya kukutwa na dawa za kulevya zaidi ya kilo 270 inayomkabili Raia wa Nigeria, David Chukwu (38) na Watanzania wawili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu bado haujakamilika.
Mbali na Chukwu ambaye ni Mkazi wa Masaki, washitakiwa wengine ni Isso Lupembe (49) Mkazi wa Mbezi na Allistair Mbele (38).
Wakili wa Serikali, Ester Martin alidai jana mbele ya Hakimu Mfawidhi Godfrey Isaya kuwa kesi hiyo imekuja kwa ajili ya kutajwa na kwamba...
10 years ago
Vijimambo24 Mar
WATANZANIA LAZIMA TUWE MAKINI NA MATAJIRI WA NCHI HII KWA MUSTAKABALI WA TAIFA LETU NA USTAWI WA WATANZANIA MASKINI
![](https://www.rafikifoundation.org/CMS/Images/tanzaniamap.png)