Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaharakati waombea amani Burundi

Wanaharakati na Vijana wamekusanyika mjini Nairobi kwa ajili ya mkesha na kuwasha mishumaa kuwakumbuka Raia wa Burundi waliouawa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wasanii waombea amani Uchaguzi Mkuu

Wasanii wa muziki wa Injili wamewataka viongozi wa kisiasa na Watanzania kuombea amani na utulivu katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu, Oktoba 25.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mama Pinda na wanaharakati wa amani wa JAPAN

PG4A6333

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza na Mtafiti Mwandamizi wa Taasisi ya INSTITUTE FOR PEACE POLITICIES  ya Japan, Yoshihiro Yamazaki  (kulia) na Katibu Mkuu wa tasisi ya amani ya Universal Peace Federation ya Japan, Seiichi Kikuya katika chakula cha jioni alichoandaliwa na Tasisi hiyo kwenye hoteli ya New Otani jijini Tokyo Machi 16, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A6335

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaharakati wafanya maandamano Burundi

Wanaharakati wa upinzani nchini Burundi wameingia mitaani kwa siku ya pili kupinga hatua ya rais wa taifa hilo kuwania muhula wa 3

 

10 years ago

GPL

WANAHARAKATI WA BURUNDI WAWATAKA MARAIS WA EAC KUTUMIA NGUVU ZA KIJESHI KUMNG’OA NKURUNZIZA

Wanaharakati hao wakiwa katika mkutano na wanahabari (hawapo pichani). Mwenyekiti wa Taasisi ya Burundi Women and Girls Movement, Prof Christine Mbonyingingo (kati) akizungumza na wanahabari.  Rais wa Taasisi ya Fight For Ongoing Torture, Niyongere Armel akisisitiza…

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania waombea Nigeria ifungwe

Tembea uone. Wakati Watanzania waliopo nchini Tanzania pamoja na Waafrika wengine wakiombea Nigeria ishinde mechi zake na kuing’arisha vyema  nyota ya Afrika, kumbe maisha ni tofauti kwa Watanzania wanaoishi Brazil. Karibu  wengi wanaombea Nigeria ifungwe mechi zake.

 

9 years ago

Mwananchi

Amani ya Burundi kusakwa Uganda

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni anatarajia kuendesha mazungumzo ya kutatua mgogoro nchini Burundi Desemba 27. Mazungumzo hayo pia yamepangwa kufanyika mjini Arusha nchini Tanzania.     

 

9 years ago

BBCSwahili

Amani ya Burundi bado haijatengamaa

Hali imezidi kuwa ya wasi wasi nchini Burundi kufuatia Watu watatu kujeruhiwa kwa mabomu matatu kurushwa hadi afisi ya meya ..

 

9 years ago

Mwananchi

Museveni: Ileteeni amani Burundi

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) haiwezi kukaa kimya huku ikishuhudia raia wa Burundi wakifa bila ya kuwa na hatia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kizingiti mazungumzo ya amani Burundi

Mazungumzo kuhusu mzozo wa kisiasa Burundi yamefanyika nchini Uganda, ingawa washiriki wamekosa kuelewana kuhusu siku ya kuanza kwa mazungumzo kamili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani