Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amani ya Burundi bado haijatengamaa

Hali imezidi kuwa ya wasi wasi nchini Burundi kufuatia Watu watatu kujeruhiwa kwa mabomu matatu kurushwa hadi afisi ya meya ..

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hali bado ni tete Burundi

Polisi waaminifu kwa rais wa Burundi Pierre Nkurunzinza wanaendelea na misako dhidi ya watu wanoshukiwa kuwa ''wasaliti''

 

10 years ago

Mwananchi

Hakijaeleweka, Burundi bado tete

Dar/Mashirika. Hali bado si shwari Burundi. Vituo vitano vya redio ikiwamo ya Taifa na ile ya African Public Radio (RPA) kilichokuwa kimefungwa na Serikali ya Burundi vilishambuliwa jana huku kukiwa kukiwa hakuna taarifa za uhakika za nani anayeitawala nchi hiyo kwa sasa.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Amani Karume bado aendelea kuwa gumzo Kisonge

Na Mwadini Ali KILICHOANDIKWA kwenye ubao wa matangazo wa Maskani ya Muembekisonge, inayoendeshwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ndio uthibitisho hasa wa fikra mgando zilizoganda akilini mwa viongozi wakuu wa chama hichi. Maskani hii imeandika maneno […]

The post Amani Karume bado aendelea kuwa gumzo Kisonge appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

Amani ya Burundi kusakwa Uganda

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni anatarajia kuendesha mazungumzo ya kutatua mgogoro nchini Burundi Desemba 27. Mazungumzo hayo pia yamepangwa kufanyika mjini Arusha nchini Tanzania.     

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanaharakati waombea amani Burundi

Wanaharakati na Vijana wamekusanyika mjini Nairobi kwa ajili ya mkesha na kuwasha mishumaa kuwakumbuka Raia wa Burundi waliouawa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kizingiti mazungumzo ya amani Burundi

Mazungumzo kuhusu mzozo wa kisiasa Burundi yamefanyika nchini Uganda, ingawa washiriki wamekosa kuelewana kuhusu siku ya kuanza kwa mazungumzo kamili.

 

9 years ago

BBCSwahili

AU kutuma walinda amani Burundi

Muungano wa Afrika umetangaza mpango wa kutuma walinda amani nchini Burundi kuzuia machafuko zaidi nchini humo.

 

9 years ago

Mwananchi

Museveni: Ileteeni amani Burundi

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) haiwezi kukaa kimya huku ikishuhudia raia wa Burundi wakifa bila ya kuwa na hatia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya kutafuta amani Burundi

Marais Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana leo jijini Dar Es Salaam kujadili mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini Burundi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani