Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amani ya Burundi kusakwa Uganda

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni anatarajia kuendesha mazungumzo ya kutatua mgogoro nchini Burundi Desemba 27. Mazungumzo hayo pia yamepangwa kufanyika mjini Arusha nchini Tanzania.     

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:Mazungumzo ya amani yakwama

Mazungumzo ya mwisho ya kuzima msukosuko wa kisiasa wa Burundi, yamesimamishwa, siku mbili kabla ya uchaguzi wa rais.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kizingiti mazungumzo ya amani Burundi

Mazungumzo kuhusu mzozo wa kisiasa Burundi yamefanyika nchini Uganda, ingawa washiriki wamekosa kuelewana kuhusu siku ya kuanza kwa mazungumzo kamili.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanaharakati waombea amani Burundi

Wanaharakati na Vijana wamekusanyika mjini Nairobi kwa ajili ya mkesha na kuwasha mishumaa kuwakumbuka Raia wa Burundi waliouawa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Amani ya Burundi bado haijatengamaa

Hali imezidi kuwa ya wasi wasi nchini Burundi kufuatia Watu watatu kujeruhiwa kwa mabomu matatu kurushwa hadi afisi ya meya ..

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya kutafuta amani Burundi

Marais Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana leo jijini Dar Es Salaam kujadili mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini Burundi.

 

9 years ago

BBCSwahili

AU kutuma walinda amani Burundi

Muungano wa Afrika umetangaza mpango wa kutuma walinda amani nchini Burundi kuzuia machafuko zaidi nchini humo.

 

9 years ago

Mwananchi

Museveni: Ileteeni amani Burundi

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) haiwezi kukaa kimya huku ikishuhudia raia wa Burundi wakifa bila ya kuwa na hatia.

 

9 years ago

BBCSwahili

UN yawazia kutuma walinda amani Burundi

Umoja wa Mataifa unatafakari wazo la kutuma walinda amani nchini Burundi iwapo machafuko nchini humo yatazidi na kuwa mapigano ya kimbari.

 

9 years ago

Mwananchi

Amani ya Burundi ni muhimu kwa Watanzania

Wiki hii Tanzania imeanza mchakato wa kutafuta suluhu ya mgogoro wa Burundi ulioibuka baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Julai 21 na mgombea wa chama cha CNDD-FDD, Pierre Nkurunziza kutetea kiti chake cha urais.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani