Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watendaji TANROADS wakesha darajani

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amemwagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) Mhandisi Ako na watendaji wengine kusimamia ujenzi wa daraja la Mto Mkundi lililosombwa na mafuriko...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Bavicha wakesha wakichaguana

>Ni mnyukano wa vuta nikuvute. Hali hiyo ilijidhihirisha juzi na jana katika uchaguzi mkuu wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha), uliomalizika katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam kwa Paschal Patrobas kuibuka mshindi wa nafasi ya uenyekiti.

 

10 years ago

GPL

MRAMBA, YONA WAKESHA...

Mramba (kushoto) akiteta jambo na wakili wake, Peter Swai baada ya Mahakama kumhukumu miaka mitatu jela na faini ya shilingi milioni tano. Harun sanchawa na denis mtima
JOTO ya jiwe! Wafungwa wawili wapya katika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam, Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na mwenzake wa Nishati na Madini, Daniel Yona, wanadaiwa kukesha huku wakilia katika siku wakianza kutumikia kifungo chao cha miaka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wandamanaji wakesha Hong Kong

Mamia ya waandamanaj wa Hong Kong wamezingirwa na Askari polisi wanaowataka kusitisha maandamano.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vijana wakesha kuwakumbuka Raia Burundi

Vijana walikusanyika jijini Nairobi Kenya kuwakumbuka waliopoteza maisha kwenye ghasia za siku ya Ijumaa

 

10 years ago

Mwananchi

Mbeya City wakesha kulinda Sokoine

Katika kile kinachoonekana kutokuwa na imani na watu waliojitokeza katika mchezo wa juzi kati ya Prisons na Yanga, baadhi ya watu wanaodaiwa kuwa ni mashabiki wa Mbeya City, waliingia lindoni baada ya mchezo huo ili kulinda Uwanja wa Sokoine usiharibiwe.

 

10 years ago

Mtanzania

Diamond, Ney wa Mitego wakesha siku saba

NA SHARIFA MMASI
NYOTA wa muziki Afrika Mashariki na Kati, Nasib Abdul ‘Diamond’ na Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, wametumia siku saba kukesha studio kurekodi wimbo wao mpya wa ‘Mapenzi au Pesa’.
Wimbo huo ulioanza kusikika hivi karibuni, Diamond na Ney wameshirikiana kwa mara ya pili baada ya wimbo wa ‘Muziki gani’.
Ney alisema ‘Mapenzi au Pesa’ ni wimbo wa kwanza kuukeshea studio na kupata usingizi kidogo kwa siku saba mfululizo.
“Kwa mara ya kwanza tangu nianze kuimba muziki, wimbo...

 

10 years ago

Vijimambo

RISASI ZARINDIMA DARAJANI ZANZIBAR

Polisi wenye silaha, wakiwa tayari kukabiliana na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi mapema leo Ijumaa, Januari 23, 2015, kwenye eneo maarufu la kibiashara, Darajani kisiwani Unguja Zanzibar. Mashuhuda wanasema, watu wanne wenye silaha wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakijaribu kufanya uporaji, kwenye eneo hilo, walikabiliana vilivyo na polisi, ambapo walijibizana risasi na kuzua mtafaruku mkubwa kwenye eneo hilo. Ripoti zisizokuwa rasmi zinasema mtu mmoja alipigwa risasi na anasadikiwa...

 

11 years ago

GPL

AJALI LA LORI UBUNGO DARAJANI

Lori lililopata ajali eneo la Ubungo Darajani jijini Dar likifungwa ili liondolewe eneo la tukio. AJALI hii imetokea muda mfupi uliopita eneo la Ubungo, Darajani jirani na River Side katika Barabara ya Mandela jijini Dar baada ya lori hili kukatika ringi za tairi za mbele katikati ya barabara. Katika ajali hiyo, hakuna abiria…

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yatoka sare na Mancity darajani

Chelsea iliimarisha uongozi wake katika jedwali la ligi ya Uingereza dhidi ya Manchester City baada ya kutoka sare ya 1-1.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani