Watendaji Tarime walimwa barua kwa kutojenga maabara
WATENDAJI wa kata wapatao 10 kati ya 24 wa wilayani Tarime wamepewa barua za kujieleza kwa nini wameshindwa kutekeleza ujenzi wa maabara agizo ambalo limetolewa na Rais Jakaya Kikwete.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 May
CCM, UKAWA walimwa barua
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) na vyama vitatu vya CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi vimetumiwa ujumbe mzito wa barua kutoka kwa Wanataaluma wa Kikristo Tanzania (CPT) ya kuvitaka viridhiane kwa maslahi ya...
10 years ago
Habarileo10 Nov
Wakurugenzi halmashauri, miji walimwa barua
OFISI ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa ya Serikali za Mitaa (Tamisemi), imewaandikia baadhi ya wakurugenzi wa halmashauri za wilaya, miji, manispaa na majiji barua za kuwabadilishia majukumu, baada ya kubainika wameshindwa kwenda na kasi ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari.
10 years ago
Habarileo30 Aug
RC awabana watendaji maabara za sekondari
MKUU wa Mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone amewataka viongozi wa CCM na watendaji katika Manispaa ya Singida kujiandaa kuachia ngazi kwenye nafasi zao iwapo watashindwa kukamilisha ujenzi wa maabara za shule za sekondari katika maeneo yao ifikapo Oktoba 15, mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Maabara zazuia likizo za watendaji
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Barua ya wazi kwa Rais Dr. John Pombe Magufuli kutoka kwa mdau wa Usalama Barabarani
Ndugu Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.
Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na...
9 years ago
Michuzi12 Nov
BARUA YA WAZI KWA RAIS DR. JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKA KWA MDAU WA USALAMA BARABARAN
![](https://scontent-waw1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11215818_1645853955683038_3394542812123695413_n.jpg?oh=954015a4699df4509dcc0343f155dbec&oe=56EE4B6D)
Nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.
Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na matukio...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FHZX1tvviJU/U1PUsmuEchI/AAAAAAAFcCw/l_r8IAgxmv0/s72-c/unnamed+(68).jpg)
Barua ya wazi kwa wabunge na vyama vyote vya siasa na viongozi wote na kwa umma wa Tanzania.
![](http://3.bp.blogspot.com/-FHZX1tvviJU/U1PUsmuEchI/AAAAAAAFcCw/l_r8IAgxmv0/s1600/unnamed+(68).jpg)
Bwana michuzi wazungu wanasema damu ni nzito kuliko maji...
9 years ago
Michuzi27 Nov
Barua ya Shigongo kwa kwa watumishi wa umma
![meiomosi-2013](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/meiomosi-2013.jpg)
Sio siri vijana wetu kwa muda mrefu wameshindwa kujivunia taifa lao, wameshindwa kuongea mbele za watu kwa sauti kubwa...