Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto 9,000 walitumiwa vitani Sudan:K

Mkuu wa haki za binadamu katika UN, amesema kuwa zaidi ya watoto 9,000 walitumiwa kama wanajeshi katika vita vinavyoendelea nchini Sudan Kusini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sudan kusini yajadiliwa Afrika Mashariki ikiwa vitani

WAKUU wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) hivi karibuni wametoa maelekezo kwa Baraza la Mawaziri kuleta taarifa ya uhakiki wa vigezo vya kuruhusu kukubaliwa kwa maombi ya nchi ya Sudani Kusini kujiunga na Jumuiya hiyo.Uhakiki huo unatakiwa kuwa tayari ifikapo, Novemba mwaka huu. Muda huo umewekwa na kikao cha faragha cha wakuu hao kilichofanyika mjini Arusha, Tanzania.

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

10 years ago

BBC

'No aid for 300,000' in South Sudan

More than 300,000 people are without "life-saving" aid in South Sudan's oil-rich Unity state after heavy fighting forces aid agencies to withdraw, the UN says.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 100,000 waachwa bila makao Sudan

Umoja wa mataifa unasema kuwa mapigano katika jimbo la Unity State nchini Sudan Kusini yamewaacha takriban raia 100,000 bila makao

 

11 years ago

Tanzania Daima

Compassion yasomesha watoto 70,000

SHIRIKA la kimataifa la Compassion linalofanya kazi na madhehebu ya Kikristo nchini, limefadhili wanafunzi 70,000 wanaosoma shule na vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi. Akizungumzia ufadhili huo jana alipokutana...

 

11 years ago

Mwananchi

Watoto 5,000 kupata chanjo Arusha

Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro imeanza kutekeleza kazi ya kutoa chanjo dhidi ya magonjwa yanayozuilika kwa watoto zaidi 5,000 wa jamii ya wafugaji wa Kimasai wanaoishi katika kata saba za Tarafa ya Ngorongoro zilizoko ndani ya eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCCA). 

 

10 years ago

Habarileo

Watoto 130,000 waishi na VVU

Dk Pindi ChanaTAKWIMU zinaonesha kuwa watoto 130,000 wana maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) kati ya hao 39,317 wamefikiwa na kupatiwa huduma ya dawa za kupunguza makali ya virusi hivyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto 35,000 kupewa chanjo Bunda

ZAIDI ya watoto 35,000 watapatiwa chanjo ya surua na kifua kikuu katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, katika zoezi lililoanza hivi karibuni baada ya kuzinduliwa katika Wiki ya Chanjo Duniani....

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto 7,000 waondolewa mashamba ya tumbaku

Zaidi ya watoto 7,000 wameondolewa kwenye mashamba ya tumbaku ya wilaya za Sikonge na Urambo ambako ambako walikuwa wakitumikishwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani