Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto kuamua ikiwa wanataka kuishi Ubelgiji

Wabunge wa Ubelgiji wamepitisha sheria inayoruhusu mtoto kufanya maamuuzi kuhusu maswala ya kifo anapokuwa mgonjwa mahututi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Scotland kuamua ikiwa itajitenga au la

Wanasiasa wanaendelea na kampeini ya lala salama ya kura ya maamuzi ikiwa Scotland itajitenga na Uingereza au la .

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliye kwenye ndoa anaweza kuamua kutopata watoto ?

Wanja Kimani hana hamu ya kupata watoto wakati Hazel Gachoka alitumia mamilioni ya fedha ili aweze kujaliwa kupata watoto.

 

11 years ago

GPL

WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU MTWARA WAKOSA MAHALI PA KUISHI

Meneja wa Vodacom kanda ya Kusini, Henry Tzamburakis akikabidhi msaada wa chakula kwa kituo cha wa watoto yatima cha EAGT Rahaleo Manispaa ya Mtwara Mikindani. Wanaopokea msaada huo kutoka (kushoto) ni watoto wanaoishi katika mazingira magumu Yasunta Rawland,  Boniface Seleman, Mkurugenzi wa kituo cha kulelea watoto cha EAGT Mtwara, Caroline Mkwele, Askofu wa kanisa la EAGT Rahaleo Mtwara pia (mwasisi wa kituo) George Mrope....

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI WA TANZANIA UBELGIJI AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI LIEGE - UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai) akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania wanaoishi Ubelgiji baada ya kumaliza mazungumzo nao leo Liege - Ubelgiji.

 

9 years ago

Mtanzania

Lupita: Wazazi wanataka niolewe

Lupita-8NEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa filamu nchini Kenya ambaye kwa sasa anaishi nchini Marekani, Lupita Nyong’o, amesema wazazi wake wanamshawishi aolewe ili wapate wajukuu.

Lupita kwa sasa anafanya vizuri katika filamu nchini Marekani na amefanikiwa kuchukua tuzo za Oscar mapema mwaka huu, hivyo baada ya kupata tuzo hiyo alitembelea nchini Kenya na kukutana na familia yake ambapo ilimtaka aolewe.

“Nilipokuwa nchini Kenya wiki chache zilizopita nilikutana na familia yangu ambapo miaka mingi tulikuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki:Wakopeshaji wanataka kutudhulumu

Waziri wa fedha nchini Ugiriki ametoa taarifa siku moja kabla ya kuandaliwa kwa kura ya maoni juu ya mpango wa kulipa deni lake.

 

9 years ago

Habarileo

‘Watanzania wanataka mabadiliko ya maendeleo’

MBUNGE wa Viti Maalumu mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe, amesema ushindi wa kishindo wa Dk John Magufuli, ni ishara kuwa Watanzania wanataka mabadiliko ya maendeleo na si bora mabadiliko.

 

11 years ago

Habarileo

'Wananchi waulizwe wanataka Serikali ngapi'

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ezekiah Oluoch amemwomba Rais Jakaya Kikwete kuchukua hatua ya kuwasilisha muswada katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa hati ya dharura ili kuifanyia marekebisho Sheria ya Marekebisho ya Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania wanataka maisha bora si maadhimisho

LEO Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaadhimisha miaka 37 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977, ambapo sherehe zake zitafanyika katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. CCM iliundwa Februari 5, mwaka 1977 chini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani