Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Scotland kuamua ikiwa itajitenga au la

Wanasiasa wanaendelea na kampeini ya lala salama ya kura ya maamuzi ikiwa Scotland itajitenga na Uingereza au la .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Je,Scotland itajitenga na Uingereza?

Matokeo ya kura mpya ya maoni yanaonyesha kuwa upande wowote unaweza kuibuka mshindi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watoto kuamua ikiwa wanataka kuishi Ubelgiji

Wabunge wa Ubelgiji wamepitisha sheria inayoruhusu mtoto kufanya maamuuzi kuhusu maswala ya kifo anapokuwa mgonjwa mahututi

 

9 years ago

BBCSwahili

Je Catalonia itajitenga na Uhispania ?

Zaidi ya watu milioni tano wamejiandikisha kupiga kura huko Catolinia Uhispania katika uchaguzi unaotarajiwa kuwa mtihani wa umoja

 

11 years ago

Michuzi

BAJAJ IKIWA IMEKULA NYOMI

Kamera ya Globu ya Jamii,imeinasa Bajaj hii maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam ikiwa imesheheni abiria kupiga uwezo wake,huku suka wa Bajaj hiyo pia akiwa amekaa kiti kimoja na abiria huku akiwa hana noma wala nini.

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOPAL PUNLISHERS IKIWA MITAANI

Maji machafu eneo la Mbagala.
Mama huyu akifanya biashara eneo la barabarani.
Mishe mishe za Mbagala.…

 

10 years ago

Mwananchi

Ikiwa Muungano unavunjika, tutaingia vitani?

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wa mwaka 1964, uliozaa Tanzania ya sasa uko shakani. Waandishi na wataalamu wa sheria na katiba na wataalamu wa tamaduni na masuala ya ushirikiano wa kimataifa, wamekuwa wakifanya uchambuzi juu ya muungano wetu kwa kuonyesha nadharia mbalimbali. Wameonyesha takwimu na ushahidi wa kila aina juu ya kuungana na athari za kutoungana. Wamekuwa wakitumia taaluma zao kuchanganua miundo mbalimbali ya muungano na kuonesha hali ya muungano wetu wa sasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Ikiwa Muungano unavunjika, tutaingia vitani? (2)

Katika toleo la kwanza la makala hii lililochapishwa Jumapili iliyopita, niliandika kimakosa kuwa wakati wa vita ya Uganda kuliwahi kutokea mzozo baina ya Rais Nyerere na Rais Karume, ukweli ni kuwa ilipaswa kuandikwa kama Rais Aboud Jumbe kwa sababu wakati huo tayari Mzee Karume alikuwa ameshafariki dunia.

 

9 years ago

Raia Mwema

Naiona Tanzania ikiwa kwenye safari

NINAPOZUNGUMZA na kuwasikiliza Watanzania ninaokutana nao nikiwa safarini, Watanzania wa kada, i

Maggid Mjengwa

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema kususia Bunge la Katiba ikiwa...

Wakati Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akisema wabunge wa chama chake watasusia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ikiwa hoja ya kuundwa kwa Serikali tatu itapingwa na wabunge wa CCM, Mwakilishi wa Mji Mkongwe (CUF), Ismail Jussa Ladhu ametaka kuvunjwa kwa Muungano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani