Ikiwa Muungano unavunjika, tutaingia vitani?
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wa mwaka 1964, uliozaa Tanzania ya sasa uko shakani. Waandishi na wataalamu wa sheria na katiba na wataalamu wa tamaduni na masuala ya ushirikiano wa kimataifa, wamekuwa wakifanya uchambuzi juu ya muungano wetu kwa kuonyesha nadharia mbalimbali. Wameonyesha takwimu na ushahidi wa kila aina juu ya kuungana na athari za kutoungana. Wamekuwa wakitumia taaluma zao kuchanganua miundo mbalimbali ya muungano na kuonesha hali ya muungano wetu wa sasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Jun
Ikiwa Muungano unavunjika, tutaingia vitani? (2)
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Sudan kusini yajadiliwa Afrika Mashariki ikiwa vitani
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-22Ku11mfSd8/U0t-aWzYvlI/AAAAAAAFaic/tqFw7sHWdnE/s72-c/UN2.jpg)
Watumishi wa Serikali na Mashirika ya Umma wafanya Tamasha la Michezo ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-22Ku11mfSd8/U0t-aWzYvlI/AAAAAAAFaic/tqFw7sHWdnE/s1600/UN2.jpg)
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o5wUE3gZvrs/UxGKvpZn5KI/AAAAAAAFQWw/wD3dPWZfG_s/s72-c/M7.jpg)
BAJAJ IKIWA IMEKULA NYOMI
![](http://3.bp.blogspot.com/-o5wUE3gZvrs/UxGKvpZn5KI/AAAAAAAFQWw/wD3dPWZfG_s/s1600/M7.jpg)
10 years ago
BBCSwahili17 Sep
Scotland kuamua ikiwa itajitenga au la
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuWYv93DdWn8TkbobhK5l366BqmJj818moLqe90FDcm6iCcBBI-7m8979m8kJWUHEUx3cWWR70-3MC0CR6PhLP1N/mwakalebela.jpg?width=650)
MWAKALEBELA: BUNGE KUONGEZEWA MUDA IKIWA...
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Naiona Tanzania ikiwa kwenye safari
NINAPOZUNGUMZA na kuwasikiliza Watanzania ninaokutana nao nikiwa safarini, Watanzania wa kada, i
Maggid Mjengwa
11 years ago
GPLKAMERA YA GLOPAL PUNLISHERS IKIWA MITAANI