Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Naiona Tanzania ikiwa kwenye safari

NINAPOZUNGUMZA na kuwasikiliza Watanzania ninaokutana nao nikiwa safarini, Watanzania wa kada, i

Maggid Mjengwa

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Naiona safari ya CCM nje ya Ikulu

Posted on October 24, 2015 Na Enzi T. Aboud KISHINDO cha mabadiliko kimekuwa kama wingu kubwa na pana linalowasogeza pamoja wataka mabadiliko na kuvifanya vyama viwili vikubwa Zanzibar vya CCM na CUF vyenye ushindani kutikisa siasa […]

The post Naiona safari ya CCM nje ya Ikulu appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Africanjam.Com

PICHA: WAKATI NCHI YA BURUNDI IKIWA KWENYE MACHAFUKO, RAISI WAKE PIERRE NKURUNZINZA AONEKANA AKISAKATA KABUMBU

Burundi kwa sasa iko kwenye vichwa cingi vya habari kutokana na hali ya machafuko ambayo ilijitokeza baada ya Rais Pierre Nkurunziza atangaze uamuzi wa kuwania Urais kwa awamu ya tatu mfululizo.nzizaJaribio la kutaka kumpindua madarakani wakati akiwa Tanzania kwenye mkutano wa usuluhishi pamoja na Marais wengine wanaounga Jumuiya ya Afrika Mashariki halikufanikiwa na sasa uamuzi uliofikiwa ni kuahirishwa kwa uchaguzi wa Wabunge.pierKingine kilichonifikia leo ni kwamba pamoja na machafuko...

 

9 years ago

Raia Mwema

Naiona hatari mbele yetu

BENJAMIN Disraeli alipata kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza.

Maggid Mjengwa

 

9 years ago

GPL

Kwanini Naiona Serikali Ya John Magufuli Inakuja

Ndugu zangu, Nionavyo, Nchi yetu iko katika hali ya kama mgonjwa anayetafuta mawili makubwa; nafuu na uimara wa afya yake. Kama upepo kinzani…

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Simu ya Mwanaume Naiona Kama Bomu-Lulu

Siku hizi sio kitu cha ajabu kusikia au kuona wapenzi wamegombana na kufikia hadi kuachana kisa simu za mikononi.

Wapo wanaoishi kwenye dhana ya simu ya mkonomni ya mpenzi wako ni simu yako na wapo wanaoishi kwenye dhana ya kila mtu na simu yake na mambo yake hakuna kuchunguza simu ya mwenzio.

Mrembo na mwingizaji, Elizabeth Michael “Lulu” ameweka wazi mtanzamo wake kuhusu simu ya mpenzi wake kwa kusema yeye hawezi kuipekuwa kwani anaiona kama ni bomu.

Lulu aliandika hayo kwenye ukurasa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Fastjet kwenye maadimisho ya miaka 70 ya kimataifa ya safari za anga duniani

1

Ofisa Habari na Masoko wa Fastjet, Lucy Mbogoro, (kulia) akizungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dr.Shaaban Mwinjaka katika maadhimisho ya miaka 70 ya Kimataifa ya safari za Anga Duniani yaliyoanza jana mpaka Desemba 5 mwaka huu katika Viwanja vya Makao Makuu ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCCA) Dar es Salaam, kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya TCCA, na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Charles Chacha.

2

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dr. Shaaban Mwinjaka (wapili...

 

10 years ago

Michuzi

EBOLA HAITADHURU UTALII TANZANIA- SAFARI HUB YAWAHAKIKISHIA WAPENZI WA TANZANIA

Na Freddy Macha, LondonWatalii na wageni Tanzania wamehakikishiwa kwamba kasheshe ya Ebola inayousakama uwanda wa magharibi ya bara haitaidhuru Bongo. Akizungumza nami katika ofisi ya kampuni ya Safari Hub yenye makao makuu Arusha na London, Mkurugenzi, Navraj Hans alisema ingawa kitakwimu idadi ya watalii barani imeshuka kwa asilimia 50 hakuna haja ya kuhaha. “Ebola inasambaa kirahisi zaidi kuelekea Ulaya kutoka Afrika Magharibi kuliko kuja kwetu. Sisi tuko mbali sana.” Bwana Hans ambaye...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kipindi cha “Mimi na Tanzania” chavuka mipaka ya Tanzania, safari ni ndani ya jiji la Washington DC

IMG-20140725-WA0004

Pichani ni Mtangazaji anayeongoza Kipindi cha ‘Mimi na Tanzania’ Hoyce Temu aliyewahi kushika taji Miss Tanzania mwaka 1999 akiwa nje ya Ubalozi wetu wa Tanzania nchini Marekani mara baada ya kuwasili ambapo alimua kufunga safari kwa ajili ya kufanya mazungumzo maalum na Balozi wetu wa Tanzania nchini Marekani Mh. Liberata Mulamula.

IMG-20140725-WA0006

Mtangazaji wa Kipindi cha Mimi na Tanzania Hoyce Temu akitia saini kitabu cha wageni kwenye Ubalozi wetu wa Tanzania nchini Marekani.

IMG-20140725-WA0005

Hapa akiwa mapokezi ya...

 

9 years ago

Vijimambo

HAPA KAZI TU NA SAFARI YA MATUMAINI WAKIWA KWENYE MICHAKATO YA KUOMBA KURA

 Mkogombea Urais kupitia Ukawa akimnadi mkombea ubunge katika moja ya harakati za kuomba kura huko mikoani.
Mgombea Urais kupitia Cha Cha Mapinduzi akimnadi mgombea mchaka chaka shinja kwa nguvu zote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani