Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMERA YA GLOPAL PUNLISHERS IKIWA MITAANI

Maji machafu eneo la Mbagala.
Mama huyu akifanya biashara eneo la barabarani.
Mishe mishe za Mbagala.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kamera za CCTV kufungwa mitaani Z’bar

MAENEO mbalimbali visiwani Zanzibar, yamepangwa kuwekwa kamera za CCTV, kukabili matukio ya uhalifu. Waziri wa Habari, Utangazaji, Utalii na Michezo, Said Ali Mbarouk amesema mchakato wa utafiti wa kuweka kamera hizo, umekamilika na kipaumbele ni eneo la Mji Mkongwe.

 

11 years ago

Michuzi

BAJAJ IKIWA IMEKULA NYOMI

Kamera ya Globu ya Jamii,imeinasa Bajaj hii maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam ikiwa imesheheni abiria kupiga uwezo wake,huku suka wa Bajaj hiyo pia akiwa amekaa kiti kimoja na abiria huku akiwa hana noma wala nini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Scotland kuamua ikiwa itajitenga au la

Wanasiasa wanaendelea na kampeini ya lala salama ya kura ya maamuzi ikiwa Scotland itajitenga na Uingereza au la .

 

10 years ago

Mwananchi

Ikiwa Muungano unavunjika, tutaingia vitani?

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wa mwaka 1964, uliozaa Tanzania ya sasa uko shakani. Waandishi na wataalamu wa sheria na katiba na wataalamu wa tamaduni na masuala ya ushirikiano wa kimataifa, wamekuwa wakifanya uchambuzi juu ya muungano wetu kwa kuonyesha nadharia mbalimbali. Wameonyesha takwimu na ushahidi wa kila aina juu ya kuungana na athari za kutoungana. Wamekuwa wakitumia taaluma zao kuchanganua miundo mbalimbali ya muungano na kuonesha hali ya muungano wetu wa sasa.

 

11 years ago

GPL

MWAKALEBELA: BUNGE KUONGEZEWA MUDA IKIWA...

Na Elvan Stambuli
MWANASIASA na  mdau wa soka kijana,  Frederick Mwakalebela ametabiri kuwa ikiwa malumbano ndani ya Bunge Maalum la Katiba linaloketi mjini Dodoma litaendeleza malumbano ya makundi, bunge hilo litaongezewa muda na hata kusababisha Uchaguzi Mkuu wa  2015 kusogezwa mbele. Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za gazeti hili Bamaga Mwenge jijini Dar mwishoni mwa wiki iliyopita, Mwakalebela...

 

10 years ago

Raia Mwema

Naiona Tanzania ikiwa kwenye safari

NINAPOZUNGUMZA na kuwasikiliza Watanzania ninaokutana nao nikiwa safarini, Watanzania wa kada, i

Maggid Mjengwa

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema kususia Bunge la Katiba ikiwa...

Wakati Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akisema wabunge wa chama chake watasusia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ikiwa hoja ya kuundwa kwa Serikali tatu itapingwa na wabunge wa CCM, Mwakilishi wa Mji Mkongwe (CUF), Ismail Jussa Ladhu ametaka kuvunjwa kwa Muungano.

 

10 years ago

Mwananchi

Ikiwa Muungano unavunjika, tutaingia vitani? (2)

Katika toleo la kwanza la makala hii lililochapishwa Jumapili iliyopita, niliandika kimakosa kuwa wakati wa vita ya Uganda kuliwahi kutokea mzozo baina ya Rais Nyerere na Rais Karume, ukweli ni kuwa ilipaswa kuandikwa kama Rais Aboud Jumbe kwa sababu wakati huo tayari Mzee Karume alikuwa ameshafariki dunia.

 

11 years ago

GPL

KAMERA YETU MTAANI

Hapa ni sokoni Tandale. Wachuuzi wakifanya biashara katika soko la Tandale. Mishemishe…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani