Watoto mnatambua maana ya heshima!
‘Nimeketi kwenye kiti changu hapa barazani nikitazama wapita njia ingawa macho yangu hayaoni vizuri kama wewe mjukuu wangu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili21 May
Kwanini familia zimekuwa 'zikiwauwa kwa heshima' watoto wao wa kike Pakistani?
Wanaume pia hulengwa , na ndugu za wanawake ambao wanadaiwa kushiriki nao katika uhusiano wa kimapenzi.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3lecZ1663oc/U0kiMMJOjmI/AAAAAAAFaOo/IkdvS5iuZIs/s72-c/New+Picture+(1).bmp)
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Je, unafahamu maana ya rangi hizi?
Ukiachilia mbali ulimwengu wa soka, hususan kwa hapa nchini kwa kuzitafsiri rangi nyekundu na njano kama rangi zinazowawakilisha watani wa jadi wa timu za Yanga na Simba, ulimwengu wa mitindo unatafsiri rangi hizo tofauti linapokuja suala zima la mavazi.
10 years ago
Mwananchi17 Mar
‘Wiki ya Maji’ imepoteza maana?
Maadhimisho ya ‘Wiki ya Maji’, ambayo hufanyika Machi 16 hadi Machi 22 kila mwaka yalianza jana nchini kote. Mwaka huu maadhimisho hayo yanafanyika kitaifa mkoani Mara na Serikali imesema kauli mbiu ya mwaka huu ni ‘Maji kwa Maendeleo Endelevu’.Â
11 years ago
BBCSwahili26 Jan
Uhuru una maana gani?
Thailand ndio nchi ya tatu duniani inayoongoza kwa kusafirisha nje mazao ya baharini.Je unajua kama mabaharia wengi ni watumwa?
9 years ago
Mwananchi06 Dec
SAIKOLOJIA : Je, unajua maana ya akili?
Siku moja niliwakuta walimu watatu wakibishana kuhusu uwezo wa wanafunzi wao. Mmoja alisema John ana akili zaidi kuliko Ali.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PGM0658IBWM/U54k0YE5qXI/AAAAAAAFq7k/8fNzm4OujlM/s72-c/77589580.jpg)
JE WAJUA MAANA HALISI YA NENO BRAZUCA?
![](http://4.bp.blogspot.com/-PGM0658IBWM/U54k0YE5qXI/AAAAAAAFq7k/8fNzm4OujlM/s1600/77589580.jpg)
Na Sultani Kipingo
"BRAZUCA"
ni neno jipya lililo midomoni pa wengi ulimwenguni hivi sasa, japo si watu wote wanaojua maana yake. Subiri nikupashe. "Brazuca" si kitu kingine bali ni jina la mpira unaotumika katika michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea chini Brazil hivi sasa.Neno hilo lina maana mbili. Ya kwanza ni neno la nchi hiyo kwa wa-Brazil wanaoishi nje ya nchi – yaani Diaspora. Maana ingine, neno hilo lina maana ya kujivunia, kuufurahia na kutambia u-Brazil kwa watu wa...
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Kumbe ndiyo maana Tanzania haiendelei
>Januari 12 mwaka huu wakati Wazanzibari wakisherehekea miaka 50 ya Mapinduzi, Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein alihitimisha hotuba yake kwa kusema kuwa siku ya Jumatatu, Januari 13 itakuwa ni mapumziko kwa Wazanzibari.
11 years ago
BBCSwahili31 Jan
Uhuru una maana gani kwako?
Ikiwa ni msimu maaalum ambapo BBC inaangazia maswala ya uhuru tuliwaomba wasomaji wa habari kwenye mtandao kutuma picha zinazoonyesha maoni yao ya uhuru.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania