Watoto yatima watakiwa wasideke
Watoto yatima wametakiwa kushiriki kikamilifu katika shughuli za nyumbani kama wanavyofanya wanafamilia wengine, badala ya kuzikwepa kwa kisingizio cha kufiwa na wazazi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA MKONO WA EID EL FITR KWA WATOTO YATIMA ,MAHABUSU YA WATOTO PAMOJA NA WAZEE WASIOJIWEZA
11 years ago
Dewji Blog15 May
Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la Usonji watakiwa kuwapenda watoto hao
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo
Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la usonji (Autism) nchini wametakiwa kuwapenda, kuwatunza na kuwapa mahitaji yao kama watoto wengine kwani ni makusudi na mapenzi ya Mwenyezi Mungu kuwapa watoto hao.
Mwito huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete wakati akiongea na walimu, walezi na wazazi wa watoto hao katika Shule ya Msingi...
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL
10 years ago
VijimamboDC WA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3FkiNOnRCV8/XlUCHZBZpQI/AAAAAAAC8Ag/ehXZfMorRRQ-PvPwzeTvmDu-oe6TVIVgQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200225-WA0024.jpg)
TECNO Yawakumbuka Watoto Yatima
Tukiwa katika mwanzo wa muhula wa kwanza wa masomo, kampuni ya simu za mkononi ya TECNO, imetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa watoto yatima wa kituo cha Chanika Children Shelter kilichopo Chanika Jijini Dar es Salaam ili kuwawezesha kurudi mashuleni.Msaada huo ukiwemo wa ada kiasi cha Shilingi Milioni tatu, vifaa vya masomo, Chakula na mahitaji mengine ya kila siku umetolewa mwishoni mwa wiki.
Akizungumza wakati wa kutoa msaada huo Afisa Uhusiano wa kampuni ya TECNO Eric Mkomoye alisema...
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Watoto yatima, ujinga, umasikini na Ukimwi
DESEMBA mwaka 2002, nilitoa mada juu ya Ukimwi, katika Kongomano la kimataifa juu ya Ukimwi, lililofanyikia Arusha. Kwa unyenyekevu mkubwa niliunga mkono matumizi ya kondomu, kama njia mojawapo ya kuzuia...
10 years ago
Habarileo03 Jan
Watoto yatima wahitaji msaada kulelewa
VITUO zaidi ya 180 nchini ndio vinavyolea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi huku 39 kati ya hivyo ndio vilivyosajiliwa na kwa Mkoa wa Arusha vinavyofanya kazi ni 13 huku vingine vikitoa huduma kwa watoto bila ya kusajiliwa.
10 years ago
MichuziDAWASCO YAWAKUMBUKA WATOTO YATIMA DAR
Akiongea na vyombo vya habari, Afisa Uhusiano wa DAWASCO, Bi Everlasting Lyaro alisema msaada huu ni sehemu ya jamii wanayotoa huduma hiyo kila siku.
“sisi kama DAWASCO tumeguswa na mahitaji ya watoto hawa na kama sehemu ya Jamii na katika kuadhimisha wiki ya Maji tumeona...
11 years ago
MichuziJAMII YAASWA KUWASAIDIA WATOTO YATIMA