Watu 20 waua katika mapigano Bangui
Watu 20 wameripotiwa kufariki kufuatia mapigano makali yaliyoibuka mjini Bangui katika jamhuri ya Afrika ya Kati.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x93ABI42iFVo24F1Z77Cadjwnd5MxhdFAQbeYt8klsYyBshIMvBk-RFWMXphCURMtfZtZ6z5VRiNESeLV2tFzcFfHq8tyEmr/140529191101_car_bangui_640x360__nocredit.jpg?width=650)
WATU 20 WAUAWA KATIKA MAPIGANO BANGUI
Vijana wakiziba barabara kwa kuchoma matairi. Daktari mmoja wa jeshi ameiambia shirika la habari la AFP kuwa zaidi ya watu 100 walijeruhiwa katika makabiliano baina ya waislamu na wakristu katika eneo la PK-5. Wenyeji wa Bangui wakitoroka makwao kufuatia ghasia hizo. Makabiliano hayo yalitibuka baada ya mauaji ya mwendesha bodaboda ambaye alikuwa ni muislamu.
Eneo hilo la PK-5 ndilo lililokuwa chimbuko la mapaigano ya wenyewe...
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Watu kadhaa waua katika milipuko Nigeria
Milipuko imetokea katika msikiti, na sehemu ya kuuza vyakula mjini Jos na mwingine wa kujitoa muhanga katika kanisa huko Patiskum
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Mlipuko wa kipindupindu waua watu 3 TZ
Watu 3 wameaga dunia na wengine 30 wamelazwa hospitalini kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu mjini Dar es salaam.
11 years ago
BBCSwahili04 Mar
Wapiganaji waua watu 29 Borno
Kundi la wapiganaji waisilamu limewaua takriban watu 29 katika mji mmoja Kaskazini Mashariki mwa Nigeria, jimbo la Borno.
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Magaidi waua watu 6 Kenya
Polisi mjini Nairobi Kenya wamedhibitisha watu 6 wameauawa baada ya shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
Mlipuko waua watu 27 Uturuki
Watu 27 wameuawa na 100 kujeruhiwa katika shambulizi la bomu lililotokea muda mchache uliopita katika mji wa Uturuki wa Suruc.
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Watu zaidi watoroka mapigano Burundi
Watu zaidi wameendelea kutoroka mji wa Bujumbura nchini Burundi baada ya kuongezeka kwa mapigano.
9 years ago
BBCSwahili01 Nov
Video- Al shabab waua watu 15 Mogadishu
Utawala nchini Somalia unasema kuwa takriban watu 15 wameuwa wanamgambo waliposhambulia hoteli moja mjini Mogadishu
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
IS waua zaidi ya watu 300 Iraq
Iraq imesema wapiganaji wa Islamic State wameua zaidi ya watu 300 wa madhehebu ya Sunni katika jimbo la Anbar.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania