Watuhumiwa wa escrow wabanwa mbavu Zanzibar
Taasisi za kutetea haki za binadamu na kusimamia misingi ya Utawala Bora Zanzibar zimesema viongozi waliohusishwa na ufisadi wa Sh 306 bilioni kupitia Akaunti ya Tegeta Escrow wakamatwe na kufikishwa mahakamni badala ya kufukuzwa kazi peke.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Mar
‘Maaskofu mgawo Escrow wabanwa’
MWENYEKITI wa Ushirika wa Wachungaji wa Kipentekoste Tanzania (PPFT), Askofu Pius Ikongo ameibuka na kutaka Jukwaa la Kikristo (TCF) kutoa tamko juu ya hatua zilizochukuliwa dhidi ya maaskofu waliotuhumiwa kupokea mgawo wa fedha za Escrow.
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Swali sakata la escrow ‘lamvunja mbavu’ Jaji Mkuu Chande
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Lx3dc6QB3uk/VJz5ah06q9I/AAAAAAAAOp0/Nzt-pE7LU14/s72-c/DSC_4806.jpg)
Maaskofu: Watuhumiwa wa Escrow washitakiwe
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lx3dc6QB3uk/VJz5ah06q9I/AAAAAAAAOp0/Nzt-pE7LU14/s640/DSC_4806.jpg)
Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Alex Malasusa, akihubiri wakati wa Ibada ya sikukuu ya Krismas katika Kanisa Kuu la KKKT Azania Front jijini Dar es Salaam jana.(Picha: Khalfan Said).
Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo nchini, wamemtaka Rais Jakaya Kikwete, kutowaonea haya viongozi wasiokuwa waadilifu wanaokwenda kinyume cha maadili katika kushughulikia mambo mbalimbali.
Kama vile fedha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eHhH0wF8G5C9kkJ-A0SxnFe2uFQpjewE8hjWzHaR37qKTF5LN3B6P6d7rGuTyXvSjLORc9P2KUP8GsfwSbeCsgRY3r*3An*U/breakingnews.gif)
WATUHUMIWA WATATU WA SAKATA LA ESCROW KIZIMBANI
10 years ago
Vijimambo13 Dec
Watuhumiwa Escrow wajiengue: Maria Nyerere
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/maria-dec13-2014(1).jpg)
Mama Maria Nyerere, (pichani) amesema waliotuhumiwa kula fedha za akaunti ya Escrow walipaswa kujiengua katika nafasi zao badala ya kumsubiri Rais atoe maamuzi.
“Hivi karibuni tumeshuhudia mambo yaliyotokea bungeni, wananchi wameona, nilitegemea waliotajwa wangejiondoa wenyewe katika nafasi zao badala ya kusubiria Rais,” alisema.
Mama Maria alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam, mara baada ya kukabidhiwa tunzo ya amani iliyotolewa na Kamati ya...
10 years ago
StarTV15 Jan
TAKUKURU yawafikisha mahakamani watuhumiwa wawili wa ESCROW.
Na Lilian Mtono.
Dar es Salaam.
Tume ya kupambana na kuzuia rushwa, TAKUKURU kwa mara ya kwanza imewapandisha kizimbani watuhumiwa wawili wanaohusishwa na kashfa ya wizi wa zaidi ya shilingi Bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.
Watuhumiwa hao walifikishwa kwenye mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam, ambapo kila mmoja anakabiliwa na shitaka moja la kula rushwa.
Mshitakiwa wa kwanza kupandishwa kizimbani alikuwa ni Bwana Theophilo John Bwakea, ambaye inadaiwa kuwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ZJhlu85PcvA/TscxKQ847QI/AAAAAAAB4o0/UkkoQayEHXM/s72-c/a27.jpg)
Mbinu kuwaokoa watuhumiwa wa Tegeta Escrow zafichuka
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZJhlu85PcvA/TscxKQ847QI/AAAAAAAB4o0/UkkoQayEHXM/s640/a27.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ukPdzP1I990/TsaHzrst_MI/AAAAAAAB4gs/s-M6xZzdVNo/s640/Z1.jpg)
Wakati umma ukitarajia hayo kutoka kwenye hotuba ya rais kwa wazee wa Dar es Salaam, zimejiumba jumuiya ambazo hazijawahi kutokea nchini, moja ikijiita Jumuiya ya Wamachinga na nyingine Jumuiya ya Vijana Wanazuoni, kila moja ikipiga debe...
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Kila kona wataka ‘watuhumiwa’ escrow wafilisiwe
10 years ago
Dewji Blog02 Apr
King Majuto ‘kuvunja mbavu’ Zanzibar siku ya KARUME DAY, Aprili 7
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Msanii mkali wa maigizo na vichekesho, Nchini, Amri Athuman a.k.a King Majuto anatarajiwa kufanya shoo maalum ya vichekesho katika viwanja vya kufurahia watoto Kariakoo, Aprili 7, mwaka huu Mjini Unguja, Zanzibar.
Kwa mujibu wa wandaaji wa shoo hiyo kampuni ya Bond Entertainment Limited, kwa kushirikiana na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF), walieleza kuwa gwiji huyo wa vichekesho King Majuto ambaye pia ni mkongwe anayetamba ndani na nje ya...