Wawakilishi CCM washangilia ushindi wa Kiembesamaki
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi kutoka CCM wameshangilia ushindi wa chama hicho katika jimbo la Kimbesamaki kupitia mgombea wake, Mahmoud Thabiti Kombo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yMfIPcVvhDg/Uu6a6uIFU_I/AAAAAAAFKbo/uDfHsuWUvCs/s72-c/CCM+FLYER_THABIT+KOMBO.jpg)
News alert: CCM yachukua tena Jimbo la Kiembesamaki Yaibuka na Ushindi wa Asilimia 75.1
![](http://1.bp.blogspot.com/-yMfIPcVvhDg/Uu6a6uIFU_I/AAAAAAAFKbo/uDfHsuWUvCs/s1600/CCM+FLYER_THABIT+KOMBO.jpg)
11 years ago
Mwananchi03 Feb
CCM yaibuka kidedea Kiembesamaki
11 years ago
Mwananchi14 Jan
CCM wamteua Kombo kuwania uwakilishi Jimbo la Kiembesamaki
9 years ago
CCM Blog![](http://img.youtube.com/vi/0T4D_Wnu0fQ/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi22 Sep
CCM: Ushindi jukwaani 30% tu
10 years ago
Mtanzania10 Aug
Lowassa: Ushindi 90% CCM waibe 10
SHABANI MATUTU NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu wa zamani ambaye pia ni mgombea urais kwa mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amewataka wananchi kuhamasishana na kumpigia kura ili apate ushindi wa asilimia 90.
Alisema akipata ushindi huo na hata kama Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiiba asilimia 10 ya kura zake, bado Ukawa watabaki na asilimia 80 ambao ni ushindi mzuri.
Akizungumza na wafuasi wa vyama vinavyounda Ukawa makao makuu ya Chama cha...
10 years ago
Mwananchi01 Jul
CCM tayari ishapanga ushindi
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YiYoXYaZPeQ/VaFWkvmhoeI/AAAAAAADxV8/s0cwVPVpcOE/s72-c/11141217_778140658970594_782124056655748765_n.png)
CHAGUO LA CCM - UMOJA NI USHINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YiYoXYaZPeQ/VaFWkvmhoeI/AAAAAAADxV8/s0cwVPVpcOE/s640/11141217_778140658970594_782124056655748765_n.png)
John Pombe Magufuli ni moja kati ya waliochukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi ya kupitishwa kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu mwezi oktoba kupitia tiketi ya chama hicho.Magufuli ni miongoni mwa waliotajwa tano bora za urais CCMDar es Salaam. Kama alivyowashangaza wengi pale alipojitokeza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais Mei 29 mwaka huu, ndivyo Dk John Magufuli alivyowashangaza tena jana kufikia hatua hii ya tano bora.
Bila makeke, majivuno...