Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHAGUO LA CCM - UMOJA NI USHINDI


John Pombe Magufuli ni moja kati ya waliochukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi ya kupitishwa kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu mwezi oktoba kupitia tiketi ya chama hicho.Magufuli ni miongoni mwa waliotajwa tano bora za urais CCMDar es Salaam. Kama alivyowashangaza wengi pale alipojitokeza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais Mei 29 mwaka huu, ndivyo Dk John Magufuli alivyowashangaza tena jana kufikia hatua hii ya tano bora.
Bila makeke, majivuno...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

TSUNAMI YA CCM LEO MKOANI TANGA,WANANCHI WANAIMANI KUBWA NA CCM NA WANAAMINI MAGUFULI NI CHAGUO SAHIHI

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi katika picha tofauti akizungumza na wananchi wa Tanga Mjini hii leo kwenye Viwanja vya Tangamano wakati wa Mkutano wa kuomba kura za Urais,Ubunge na Udiwani kwaajili ya kuhakikisha CCM inashinda kwa kishindo mapema October 25.2015.Magufuli amewaahidi Wananchi wa Tanga kuwa atarejesha Viwanda na atahakikisha Tanga Unakuwa Mkoa wa Viwanda kama zamani.Mbali zaidi amesema amenuia kuhakikisha Taifa linabadilika kwenye Utendaji wakazi,Utoaji wa...

 

10 years ago

Vijimambo

HIVI NDIVYO MWIGULU NCHEMBA ALIVYOTUA MBULU HII LEO,NI OPARESHENI "UMOJA NI USHINDI"


Mwigulu akisisitiza jambo kuhusu hujuma dhidi ya Dawa za Hospitali za Serikali zinavyotafunwa na Wachache ili hali wananchi wanahali ngumu.Mwigulu Nchemba akizungumza na Umati wa wakazi wa Mbulu waliofika Mchana waleo kwenye mkutano wa hadhara viwanja vya Mpira mbulu kusikiliza sera za Chama cha Mapinduzi kuelekea Uchaguzi wa serikali za Mitaa.CCM Oyeeeeeeeeeee!!!!Mh:Mwigulu nchemba akisalimiana na Wananchi wa Mbulu Mjini hii leo alipokutana nao kwenye Mkutano wa hadhara wa...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM: Ushindi jukwaani 30% tu

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na CCM vinaonekana kushindana kujaza watu kwenye mikutano yao ya kampeni, lakini chama hicho tawala kimesema ushindi wa jukwaani ni asilimia 30 tu.

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa: Ushindi 90% CCM waibe 10

0D6A9052SHABANI MATUTU NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM

WAZIRI Mkuu wa zamani ambaye pia ni mgombea urais kwa mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amewataka wananchi kuhamasishana na kumpigia kura ili apate ushindi wa asilimia 90.

Alisema akipata ushindi huo na hata kama Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiiba asilimia 10 ya kura zake, bado Ukawa watabaki na asilimia 80 ambao ni ushindi mzuri.

Akizungumza na wafuasi wa vyama vinavyounda Ukawa makao makuu ya Chama cha...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM tayari ishapanga ushindi

CCM tayari wameshapanga ushindi wa urais mwaka huu, fawahisha (waziwazi) wanasema kuwa watashinda hata kwa bao la mkono. Gazeti la Mwananchi limelidadavua “bao la mkono” kuwa ni lile goli lililofungwa kwa kuupiga mpira kwa mkono kinyume na taratibu za mpira, lakini hukubaliwa kwa kuwa mwamuzi anakuwa hajaona.

 

9 years ago

Mtanzania

CCM yajitabiria ushindi asilimia 69.3

Pg 3NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema takwimu zinaonyesha mikutano yote iliyofanywa na mgombea urais wake, Dk. John Magufuli hadi sasa, kinaweza kuibuka na ushindi wa asilimia 69.3.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya chama hicho, January Makamba, alisema takwimu hizo zimetokana na utafiti wa ndani uliofanywa siku kumi zilizopita katika majimbo 246 kati ya 269.

“Utafiti huu ulishirikisha taasisi nyingine...

 

10 years ago

Habarileo

CCM yajihakikishia ushindi Zanzibar

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kina uhakika wa kushinda katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa sababu ya kufanikiwa kutekeleza na kusimamia Ilani ya Uchaguzi katika bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16.

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi waitabiria CCM ushindi

Dk John MagufuliWASOMI na wanaharakati mbalimbali nchini kwa kumteua Dk John Magufuli kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, chama hicho kimempata mgombea sahihi, asiye na makundi pia kimezingatia jinsia baada ya kumchagua mgombea mwenza mwanamke, Samia Suluhu Hassan.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani