Lowassa: Ushindi 90% CCM waibe 10
SHABANI MATUTU NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu wa zamani ambaye pia ni mgombea urais kwa mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amewataka wananchi kuhamasishana na kumpigia kura ili apate ushindi wa asilimia 90.
Alisema akipata ushindi huo na hata kama Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiiba asilimia 10 ya kura zake, bado Ukawa watabaki na asilimia 80 ambao ni ushindi mzuri.
Akizungumza na wafuasi wa vyama vinavyounda Ukawa makao makuu ya Chama cha...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://img.youtube.com/vi/0T4D_Wnu0fQ/default.jpg)
9 years ago
Raia Mwema07 Nov
Ushindi wa Chadema ni ‘hujuma na mkono’ wa Lowassa
SIRI ya ushindi mkubwa wa kishindo kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Uchaguz
Paul Sarwatt
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Mgombea urais ampa ushindi Lowassa
9 years ago
Vijimambo07 Sep
LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2860850/highRes/1112336/-/maxw/600/-/r63lu6z/-/lowasa_akilini.jpg)
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...
9 years ago
Mwananchi22 Sep
CCM: Ushindi jukwaani 30% tu
10 years ago
Mwananchi01 Jul
CCM tayari ishapanga ushindi
10 years ago
Habarileo15 Jul
Wasomi waitabiria CCM ushindi
WASOMI na wanaharakati mbalimbali nchini kwa kumteua Dk John Magufuli kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, chama hicho kimempata mgombea sahihi, asiye na makundi pia kimezingatia jinsia baada ya kumchagua mgombea mwenza mwanamke, Samia Suluhu Hassan.
9 years ago
Mtanzania17 Sep
CCM yajitabiria ushindi asilimia 69.3
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema takwimu zinaonyesha mikutano yote iliyofanywa na mgombea urais wake, Dk. John Magufuli hadi sasa, kinaweza kuibuka na ushindi wa asilimia 69.3.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya chama hicho, January Makamba, alisema takwimu hizo zimetokana na utafiti wa ndani uliofanywa siku kumi zilizopita katika majimbo 246 kati ya 269.
“Utafiti huu ulishirikisha taasisi nyingine...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YiYoXYaZPeQ/VaFWkvmhoeI/AAAAAAADxV8/s0cwVPVpcOE/s72-c/11141217_778140658970594_782124056655748765_n.png)
CHAGUO LA CCM - UMOJA NI USHINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YiYoXYaZPeQ/VaFWkvmhoeI/AAAAAAADxV8/s0cwVPVpcOE/s640/11141217_778140658970594_782124056655748765_n.png)
John Pombe Magufuli ni moja kati ya waliochukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi ya kupitishwa kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu mwezi oktoba kupitia tiketi ya chama hicho.Magufuli ni miongoni mwa waliotajwa tano bora za urais CCMDar es Salaam. Kama alivyowashangaza wengi pale alipojitokeza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais Mei 29 mwaka huu, ndivyo Dk John Magufuli alivyowashangaza tena jana kufikia hatua hii ya tano bora.
Bila makeke, majivuno...