Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa: Ushindi 90% CCM waibe 10

0D6A9052SHABANI MATUTU NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM

WAZIRI Mkuu wa zamani ambaye pia ni mgombea urais kwa mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amewataka wananchi kuhamasishana na kumpigia kura ili apate ushindi wa asilimia 90.

Alisema akipata ushindi huo na hata kama Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiiba asilimia 10 ya kura zake, bado Ukawa watabaki na asilimia 80 ambao ni ushindi mzuri.

Akizungumza na wafuasi wa vyama vinavyounda Ukawa makao makuu ya Chama cha...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Ushindi wa Chadema ni ‘hujuma na mkono’ wa Lowassa

SIRI ya ushindi mkubwa wa kishindo kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Uchaguz

Paul Sarwatt

 

9 years ago

Mwananchi

Mgombea urais ampa ushindi Lowassa

Mgombea urais Chama cha Tanzania Labour (TLP), Macmillan Lyimo amepingana na matokeo ya tafiti za kisiasa yaliyotongazwa hivi karibuni na taasisi mbili, akisema kama Uchaguzi Mkuu ungefanyika Septemba, mgombea urais wa Chadema na Ukawa, Edward Lowassa ndiye angeshinda kwa kishindo.

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (kulia) akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho aliyekuwa Mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM, Mgana Msindai baada ya kujiunga na Chadema hivi karibuni. Kushoto ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Segerea, Makongoro Mahanga. Picha ya Maktaba
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM: Ushindi jukwaani 30% tu

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na CCM vinaonekana kushindana kujaza watu kwenye mikutano yao ya kampeni, lakini chama hicho tawala kimesema ushindi wa jukwaani ni asilimia 30 tu.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM tayari ishapanga ushindi

CCM tayari wameshapanga ushindi wa urais mwaka huu, fawahisha (waziwazi) wanasema kuwa watashinda hata kwa bao la mkono. Gazeti la Mwananchi limelidadavua “bao la mkono” kuwa ni lile goli lililofungwa kwa kuupiga mpira kwa mkono kinyume na taratibu za mpira, lakini hukubaliwa kwa kuwa mwamuzi anakuwa hajaona.

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi waitabiria CCM ushindi

Dk John MagufuliWASOMI na wanaharakati mbalimbali nchini kwa kumteua Dk John Magufuli kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, chama hicho kimempata mgombea sahihi, asiye na makundi pia kimezingatia jinsia baada ya kumchagua mgombea mwenza mwanamke, Samia Suluhu Hassan.

 

9 years ago

Mtanzania

CCM yajitabiria ushindi asilimia 69.3

Pg 3NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema takwimu zinaonyesha mikutano yote iliyofanywa na mgombea urais wake, Dk. John Magufuli hadi sasa, kinaweza kuibuka na ushindi wa asilimia 69.3.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya chama hicho, January Makamba, alisema takwimu hizo zimetokana na utafiti wa ndani uliofanywa siku kumi zilizopita katika majimbo 246 kati ya 269.

“Utafiti huu ulishirikisha taasisi nyingine...

 

10 years ago

Vijimambo

CHAGUO LA CCM - UMOJA NI USHINDI


John Pombe Magufuli ni moja kati ya waliochukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi ya kupitishwa kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu mwezi oktoba kupitia tiketi ya chama hicho.Magufuli ni miongoni mwa waliotajwa tano bora za urais CCMDar es Salaam. Kama alivyowashangaza wengi pale alipojitokeza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais Mei 29 mwaka huu, ndivyo Dk John Magufuli alivyowashangaza tena jana kufikia hatua hii ya tano bora.
Bila makeke, majivuno...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani