Wawakilishi wataka uwezo kukabili ajali baharini
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wametaka Serikali kujengea uwezo Idara ya Maafa kwa ajili ya kukabili matukio ya ajali za baharini pamoja na matukio ya moto.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo26 Oct
Polisi yatambia uwezo ilionao kukabili vurugu
KAMANDA wa Polisi mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, amesema wanavyo vitendea kazi vya kutosha na vya kisasa kwa ajili ya kukabiliana na vurugu itakayofanywa na mtu ama kikundi cha watu kwa lengo la kuvuruga mchakato mzima wa uchaguzi mkuu.
11 years ago
Habarileo20 May
Wawakilishi wataka kero za Muungano zitatuliwe
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi, wametaka Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kupatia ufumbuzi kero za Muungano, ambazo baadhi yake zimekuwa zikirudisha nyuma maendeleo ya wananchi na kupambana na umasikini.
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Watoto waliokulia familia korofi wana uwezo wa kukabili matatizo ya kimaisha
11 years ago
Habarileo07 Mar
Tamwa wataka jamii kukabili ukatili wa kijinsia
CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), leo kinaungana na wanawake kote nchini kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani huku kikitaka jamii ielekeze nguvu katika kupinga ukiukwaji wa haki za binadamu.
10 years ago
StarTV30 Dec
Ajali ya AirAsia, Miili 40 yaopolewa baharini.
Kufuatia kupotea kwa ndege ya shirika la ndege la Asia ndege namba QZ8501At ,miili arobaini imeopolewa kutoka baharini katika utafutaji wa mabaki ya ndege hiyo na utafutaji unaendelea.
Miili hiyo ilionekana ikielelea karibu na taka za bahari pwani ya Indonesia,eneo la Borneo moja ya eneo la utafutaji mabaki ya ndege hiyo.Na taarifa kutoka serikali ya Indonesia zimethibitisha kwamba miili hiyo inatoka katika ndege iliyopotea.
Ndege hiyo aina ya Airbus A320-200,ilikuwa imebeba abiria mia moja...
10 years ago
Habarileo02 Apr
Madereva wataka maamuzi magumu kukokesha ajali
CHAMA cha Wafanyakazi wa Usafirishaji kwa Njia ya Barabara Tanzania (TAROTWU) kimesema matatizo yanayotokea sasa, zikiwemo ajali za barabarani ni sehemu ya changamoto ambazo zinatakiwa kuchukuliwa maamuzi magumu na Serikali.
9 years ago
MichuziWAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2Jhx8l-1L1E/Xm2-F73IsMI/AAAAAAALjsk/aCqIdWSGq_QCuckT4BegeSwtJsBTBXmHACLcBGAsYHQ/s72-c/a3d9931f-b021-490e-ba1f-4e3e9397d96c.jpg)
WAZIRI WA MADINI ALITAKA SHIRIKA LA MAENDELEO LA TAIFA (NDC) KUVITAMBUA VIPAJI NA UWEZO WAANZILISHI WA VIWANDA ILI KUWAJENGEA UWEZO
Biteko ameyasema hayo alipotembelea kiwanda kidogo cha kulainisha chuma kilichopo katika kata ya Lubonde wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kinachomilikiwa na Bw. Reuben Mtitu (Mzee Kisangani) na kuona uwezo wake katika...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pip6g4jx0seExhExu2EFbLgeVB1j*U30748gA8CVHI7fUtS2XssAW4mupDaGlpciM5PpM0qL2zkrPeWTRIn2daQYxVaucZB6/Afumaniwa.jpg?width=650)
AFUMANIWA, AJITOSA BAHARINI