Wazazi watoa hongo waonywa
SERIKALI wilayani Mpanda mkoani Katavi imeonya tabia ya baadhi ya wazazi ambao wanahonga baadhi ya walimu wa shule za msingi na sekondari ili wawafute watoto wao wa kike katika orodha ya wanafunzi kwa kisingizio kwamba wamekufa ili waweze kuwaoza.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Makandarasi watoa rushwa waonywa
SERIKALI imewaonya baadhi ya makandarasi nchini wenye tabia ya kuwahonga watumishi wa serikali, ili waweze kupata zabuni za ujenzi wa miradi mbalimbali. Onyo hilo lilitolewa jijini Dar es Salam mwishoni...
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Wazazi wa Sotlof watoa kauli yao
10 years ago
GPLSAA WATOA MADAWA KWA WODI YA WAZAZI TEMEKE
11 years ago
BBCSwahili04 Jun
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Israel:Ehud Omert alipokea hongo
10 years ago
BBCSwahili28 May
Afrika Kusini yakanusha ilitoa hongo
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Blatter achunguzwa na FBI kuhusu hongo ya $100m
9 years ago
Bongo507 Dec
Sepp Blatter achunguzwa na FBI kuhusiana na hongo ya $100m
![2609704800000578-0-image-a-30_1449432828803](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2609704800000578-0-image-a-30_1449432828803-300x194.jpg)
Kipindi maalumu cha uchunguzi kinachojulikana kama BBC Panorama, kimeonesha ushahidi kwamba rais wa FIFA Sepp Blatter aliyesimamishwa kwa muda, anachunguzwa na shirika la ujajusi la Marekani, FBI.
Kuna kampuni ya masoko ya michezo inayoaminika kulipa mamilioni ya dola za Kimarekani kwa maafisa waandamizi wa FIFA katika miaka ya mwishoni mwa 1990 ili kupewa haki ya kutangaza michuano ya kombe la dunia.
Aliyekuwa ameshikia nafasi hiyo kabla ya Blatter, Joao Havelange, alikuwa ni miongoni mwa...
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Afrika Kusini yakana kutoa hongo kwa FIFA