Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazazi watoa hongo waonywa

SERIKALI wilayani Mpanda mkoani Katavi imeonya tabia ya baadhi ya wazazi ambao wanahonga baadhi ya walimu wa shule za msingi na sekondari ili wawafute watoto wao wa kike katika orodha ya wanafunzi kwa kisingizio kwamba wamekufa ili waweze kuwaoza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Makandarasi watoa rushwa waonywa

SERIKALI imewaonya baadhi ya makandarasi nchini wenye tabia ya kuwahonga watumishi wa serikali, ili waweze kupata zabuni za ujenzi wa miradi mbalimbali. Onyo hilo lilitolewa jijini Dar es Salam mwishoni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wazazi wa Sotlof watoa kauli yao

Familia ya mwandishi wa habari Steven Sotloff hatimaye imezungumza kwa mara ya kwanza tangu mtoto wao auawe

 

10 years ago

GPL

SAA WATOA MADAWA KWA WODI YA WAZAZI TEMEKE

Mlezi wa chama cha Washereheshaji Nchini Tanzania ‘Sherehe Arts Association(SAA), Ahmed chombo (mwenye shati la drafti) akikabidhi dawa katika hospitali ya Temeke. Mganga mfawidhi, Amani Malima (wa pili kulia) akipokea dawa hizo na kuahidi kuzifikisha kwa walengwa.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Platini akanusha alipokea hongo

Platini adai mkutano na bin Hammam ulikuwa wa kawaida

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel:Ehud Omert alipokea hongo

Waziri Mkuu wa zamani wa Israel, Ehud Olmert amepatikana na hatia ya kosa la kupokea hongo katika sakata iliyomlazimisha kujiuzulu mwaka 2008

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yakanusha ilitoa hongo

Afrika Kusini imekanusha dai kuwa SAFA ilitoa hongo ya dola milioni 10 ili taifa hilo lipewe uwenyeji wa kombe la dunia la mwaka wa 2010.

 

9 years ago

BBCSwahili

Blatter achunguzwa na FBI kuhusu hongo ya $100m

Rais wa FIFA Sepp Blatter aliyesimamsishwa kwa muda anachunguzwa na shirika la ujajusi la Marekani FBI kuhusiana na rushwa ya $100m, uchunguzi wa BBC umebaini.

 

9 years ago

Bongo5

Sepp Blatter achunguzwa na FBI kuhusiana na hongo ya $100m

2609704800000578-0-image-a-30_1449432828803

Kipindi maalumu cha uchunguzi kinachojulikana kama BBC Panorama, kimeonesha ushahidi kwamba rais wa FIFA Sepp Blatter aliyesimamishwa kwa muda, anachunguzwa na shirika la ujajusi la Marekani, FBI.

2609704800000578-0-image-a-30_1449432828803

Kuna kampuni ya masoko ya michezo inayoaminika kulipa mamilioni ya dola za Kimarekani kwa maafisa waandamizi wa FIFA katika miaka ya mwishoni mwa 1990 ili kupewa haki ya kutangaza michuano ya kombe la dunia.

Aliyekuwa ameshikia nafasi hiyo kabla ya Blatter, Joao Havelange, alikuwa ni miongoni mwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yakana kutoa hongo kwa FIFA

Afrika kusini imekana kwa mara nyengine tena kwamba ilitoa hongo ili kupewa maandalizi ya kombe la dunia la mwaka 2010.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani