Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Israel:Ehud Omert alipokea hongo

Waziri Mkuu wa zamani wa Israel, Ehud Olmert amepatikana na hatia ya kosa la kupokea hongo katika sakata iliyomlazimisha kujiuzulu mwaka 2008

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Platini akanusha alipokea hongo

Platini adai mkutano na bin Hammam ulikuwa wa kawaida

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa zamani Israel Ehud Olmert kufungwa jela

Waziri mkuu wa zamani wa Israel Ehud Olmert ametakiwa kutumikia kifungo cha miezi 18 jela kwa makosa ya ulaji rushwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ehud Olmert jela kwa miaka sita

Waziri mkuu wa zamani wa Israel amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela kwa kupokea hongo ili kuharakisha mradi wa ujenzi Jerusalem

 

10 years ago

BBCSwahili

Afisa wa FIFA akiri alipokea rushwa

Marekani imechapisha taarifa inayoelezea jinsi Afisa wa zamani wa FIFA Chuck Blazer alivyokiri kuwa kupokea rushwa.

 

10 years ago

Habarileo

Wazazi watoa hongo waonywa

SERIKALI wilayani Mpanda mkoani Katavi imeonya tabia ya baadhi ya wazazi ambao wanahonga baadhi ya walimu wa shule za msingi na sekondari ili wawafute watoto wao wa kike katika orodha ya wanafunzi kwa kisingizio kwamba wamekufa ili waweze kuwaoza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yakanusha ilitoa hongo

Afrika Kusini imekanusha dai kuwa SAFA ilitoa hongo ya dola milioni 10 ili taifa hilo lipewe uwenyeji wa kombe la dunia la mwaka wa 2010.

 

9 years ago

BBCSwahili

Blatter achunguzwa na FBI kuhusu hongo ya $100m

Rais wa FIFA Sepp Blatter aliyesimamsishwa kwa muda anachunguzwa na shirika la ujajusi la Marekani FBI kuhusiana na rushwa ya $100m, uchunguzi wa BBC umebaini.

 

9 years ago

Bongo5

Sepp Blatter achunguzwa na FBI kuhusiana na hongo ya $100m

2609704800000578-0-image-a-30_1449432828803

Kipindi maalumu cha uchunguzi kinachojulikana kama BBC Panorama, kimeonesha ushahidi kwamba rais wa FIFA Sepp Blatter aliyesimamishwa kwa muda, anachunguzwa na shirika la ujajusi la Marekani, FBI.

2609704800000578-0-image-a-30_1449432828803

Kuna kampuni ya masoko ya michezo inayoaminika kulipa mamilioni ya dola za Kimarekani kwa maafisa waandamizi wa FIFA katika miaka ya mwishoni mwa 1990 ili kupewa haki ya kutangaza michuano ya kombe la dunia.

Aliyekuwa ameshikia nafasi hiyo kabla ya Blatter, Joao Havelange, alikuwa ni miongoni mwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani