Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Platini akanusha alipokea hongo

Platini adai mkutano na bin Hammam ulikuwa wa kawaida

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Israel:Ehud Omert alipokea hongo

Waziri Mkuu wa zamani wa Israel, Ehud Olmert amepatikana na hatia ya kosa la kupokea hongo katika sakata iliyomlazimisha kujiuzulu mwaka 2008

 

10 years ago

BBCSwahili

Afisa wa FIFA akiri alipokea rushwa

Marekani imechapisha taarifa inayoelezea jinsi Afisa wa zamani wa FIFA Chuck Blazer alivyokiri kuwa kupokea rushwa.

 

10 years ago

Habarileo

Wazazi watoa hongo waonywa

SERIKALI wilayani Mpanda mkoani Katavi imeonya tabia ya baadhi ya wazazi ambao wanahonga baadhi ya walimu wa shule za msingi na sekondari ili wawafute watoto wao wa kike katika orodha ya wanafunzi kwa kisingizio kwamba wamekufa ili waweze kuwaoza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yakanusha ilitoa hongo

Afrika Kusini imekanusha dai kuwa SAFA ilitoa hongo ya dola milioni 10 ili taifa hilo lipewe uwenyeji wa kombe la dunia la mwaka wa 2010.

 

9 years ago

BBCSwahili

Blatter achunguzwa na FBI kuhusu hongo ya $100m

Rais wa FIFA Sepp Blatter aliyesimamsishwa kwa muda anachunguzwa na shirika la ujajusi la Marekani FBI kuhusiana na rushwa ya $100m, uchunguzi wa BBC umebaini.

 

9 years ago

Bongo5

Sepp Blatter achunguzwa na FBI kuhusiana na hongo ya $100m

2609704800000578-0-image-a-30_1449432828803

Kipindi maalumu cha uchunguzi kinachojulikana kama BBC Panorama, kimeonesha ushahidi kwamba rais wa FIFA Sepp Blatter aliyesimamishwa kwa muda, anachunguzwa na shirika la ujajusi la Marekani, FBI.

2609704800000578-0-image-a-30_1449432828803

Kuna kampuni ya masoko ya michezo inayoaminika kulipa mamilioni ya dola za Kimarekani kwa maafisa waandamizi wa FIFA katika miaka ya mwishoni mwa 1990 ili kupewa haki ya kutangaza michuano ya kombe la dunia.

Aliyekuwa ameshikia nafasi hiyo kabla ya Blatter, Joao Havelange, alikuwa ni miongoni mwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yakana kutoa hongo kwa FIFA

Afrika kusini imekana kwa mara nyengine tena kwamba ilitoa hongo ili kupewa maandalizi ya kombe la dunia la mwaka 2010.

 

5 years ago

CCM Blog

TAKUKURU YAMSHIKILIA MENEJA WA BANDARI HANDENI KWA MADAI YA KUOMBA HONGO YA SH. 900,000

 TAKUKURU Mkoa wa Tanga inamshikilia Meneja wa Bandari ya Kipumbwi iliyopo Handeni, Tanga Steven Mbakweni, kwa kosa la kuomba na kushawishi hongo ya Sh. laki 9 kutoka kwa mteja wake ili aweze kumruhusu kusafirisha mzigo kutoka Pangani kwenda Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani