Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazee wa Uingereza watatizwa na upweke

Huduma za simu iitwayo Silver line, iliyoanzishwa kusaidia wazee wanaokumbwa na upweke Uingereza imepokea idadi kubwa ya wapigaji simu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

SERENGETI GLOBAL SERVICES LTD WAZEE WA KAZI WAKALA WA TBS KUKAGUA MAGARI YAENDAYO TANZANIA KUTOKA UINGEREZA

TUNAPENDA KUWAJULISHA KUA TUMEFUNGUA MATAWI MAPYA ILI KUKIDHI MAHITAJI YA WATEJA WETU

KWA SASA TUNA KARAKANA KWENYE BANDARI ZOTE KUU NCHINI UINGEREZA

PORT OF TILBURY BRANCH (HEAD OFFICE):

SERENGETI GLOBAL SERVICES LTD

UNIT 16D TILBURY INDUSTRIAL COMPLEX

TILBURY FREEPORT

TILBURY, ESSEX

RM 18 7HB


PORT OF IMMINGHAM BRANCH:

SERENGETI GLOBAL SERVICES LTD

UNIT 1 MANBY ROAD

IMMINGHAM

DN40 2LH


PORT OF SHEERNESS BRANCH:

SERENGETI GLOBAL SERVICES LTD

UNIT 1 RUSHENDEN ROAD

QUEENSBOROUGH

SHEERNESS, KENT

ME1 5HL


BOOKINGS ...

 

11 years ago

GPL

WANANCHI WATATIZWA NA KITUO CHA MWENGE KUHAMISHIWA MAKUMBUSHO

Wananchi wa jiji la Dar es Salaam wamelalamikia kitendo cha Sumatra kuhamisha kituo cha Daladala cha Mwenge kwenda Makumbusho.

 

10 years ago

Vijimambo

MATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0

Beki wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ (kulia), akiondosha mpira wa hatari katika eneo la langoni kwake huku mshambuliaji wa Simba, Elius Maguri (katikati) akijaribu kunyoosha guu ili kupiga mpira huo bila mafanikio wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliomaliziki jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, bila timu hizo kufungana. Kushoto ni Kelvin Yondan, akijiandaa kutoa msaada.

MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-

YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...

 

5 years ago

Michuzi

WAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE

Baraza la Wazee mkoa wa Shinyanga limeipongeza Serikali ya mkoa huo, kupunguza tatizo la mauaji ya wazee pamoja na watu wenye ualbino, ambao walikuwa akiuawa kwa sababu ya imani potofu za kishirikina.


Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu.  Akisoma...

 

10 years ago

GPL

CATHY ATESWA NA UPWEKE!

IMELDA MTEMA MSANII mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo,  Sabrina Rupia ‘Cathy’ amesema kuwa kwa sasa yupo katika kipindi kigumu cha upweke kutokana na mume wake kuhamishiwa Kisiwani Unguja kikazi. MSANII mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo,  Sabrina Rupia ‘Cathy’. Akizungumza na mwandishi wetu, Cathy alisema kuwa hakuna kitu kigumu na kinachomtesa kama kutenganishwa na mtu ambaye anampenda...

 

9 years ago

GPL

KOLETHA ACHOSHWA NA UPWEKE!

Muigizaji wa muda mrefu, Koletha Raymond. BRIGHTON MASALU KOLETHA Raymond, ambaye ni muigizaji wa muda mrefu, amesema kwa sasa amechoshwa na upweke huku akiweka wazi kuwa yuko tayari kuingia kwenye uhusiano endapo atapata mwanaume mwenye sifa stahiki. ‘Akidondosha silabi’ na Amani, Koletha alisema kwa muda mrefu sasa amekuwa peke yake huku pombe ikigeuka faraja pekee ya moyo wake, kutoka na kukosa mapenzi ya dhati...

 

11 years ago

GPL

USIKAE NA UPWEKE MOYONI MWAKO!

HAPA kwenye Love & Life ni mahali sahihi pa kuongeza ufahamu kuhusu mambo ya uhusiano na mapenzi. Naamini kila siku umeendelea kuelimika kupitia hapa. Yes! Leo nitazungumzia juu ya kuweza kuushinda upweke katika moyo wako. Natambua kuna baadhi ya wanawake au wanaume wanakaa kipindi kirefu bila ya kutamkiwa kuwa wanapendwa, kutokana na hali hiyo wanakuwa wapweke na wakati mwingine kufikiria kuwa wao ni wabaya na wasiostahili...

 

11 years ago

GPL

UMECHOSHWA NA UPWEKE? ZINGATIA HAYA

NI wiki nyingine ambapo Mwenyezi Mungu ametujaalia kukutana katika busati letu la mahaba ambapo tunajadiliana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Kwa ndugu zangu ambao mpo kwenye mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, nawatakia mfungo mwema. Tukirudi kwenye mada yetu ya hapo juu, leo nataka kuzungumza na wewe rafiki yangu ambaye umri wa kuingia kwenye ndoa umefika lakini bado hujabahatika kumpata mwenzi wako ambaye...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ronaldo anaishi maisha ya 'upweke'

Mtayarishi wa sinema inayoangazia maisha ya mwanakandanda wa Real Madrid Cristiano Ronaldo anasema kuwa nyota huyo ni mpweke mno.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani