Wazee wa Uingereza watatizwa na upweke
Huduma za simu iitwayo Silver line, iliyoanzishwa kusaidia wazee wanaokumbwa na upweke Uingereza imepokea idadi kubwa ya wapigaji simu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4xsWddAon2Q/VkOcglD_eFI/AAAAAAAIFVw/pWDFb4oMsow/s72-c/se.png)
SERENGETI GLOBAL SERVICES LTD WAZEE WA KAZI WAKALA WA TBS KUKAGUA MAGARI YAENDAYO TANZANIA KUTOKA UINGEREZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4xsWddAon2Q/VkOcglD_eFI/AAAAAAAIFVw/pWDFb4oMsow/s640/se.png)
PORT OF IMMINGHAM BRANCH:SERENGETI GLOBAL SERVICES LTDUNIT 1 MANBY ROADIMMINGHAMDN40 2LH
PORT OF SHEERNESS BRANCH:SERENGETI GLOBAL SERVICES LTDUNIT 1 RUSHENDEN ROADQUEENSBOROUGHSHEERNESS, KENTME1 5HL
BOOKINGS ...
11 years ago
GPL03 Jun
WANANCHI WATATIZWA NA KITUO CHA MWENGE KUHAMISHIWA MAKUMBUSHO
Wananchi wa jiji la Dar es Salaam wamelalamikia kitendo cha Sumatra kuhamisha kituo cha Daladala cha Mwenge kwenda Makumbusho.
10 years ago
VijimamboMATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0
MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-
YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...
5 years ago
MichuziWAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE
Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu. Akisoma...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XnAxcylq3iihD*oTzTMA1WzKo6AxGXbsq*BmoeKcVvmurfTt6FvdrN*1qmsqNkHCjQClzHUA3Hs3l0JPq*j9jC-aj1IzVW*B/gfhshj.jpg?width=650)
CATHY ATESWA NA UPWEKE!
IMELDA MTEMA MSANII mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amesema kuwa kwa sasa yupo katika kipindi kigumu cha upweke kutokana na mume wake kuhamishiwa Kisiwani Unguja kikazi. MSANII mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Akizungumza na mwandishi wetu, Cathy alisema kuwa hakuna kitu kigumu na kinachomtesa kama kutenganishwa na mtu ambaye anampenda...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jw5zqGnfHdryDZjppEKFEs-1*1lMsmMW69TgrdVlkliWscKbJNyhT59*xo5L58qQ2hSADjky18GqdX9qCNDbNt90rWx2ptUa/Coletha.jpg?width=650)
KOLETHA ACHOSHWA NA UPWEKE!
Muigizaji wa muda mrefu, Koletha Raymond. BRIGHTON MASALU KOLETHA Raymond, ambaye ni muigizaji wa muda mrefu, amesema kwa sasa amechoshwa na upweke huku akiweka wazi kuwa yuko tayari kuingia kwenye uhusiano endapo atapata mwanaume mwenye sifa stahiki. ‘Akidondosha silabi’ na Amani, Koletha alisema kwa muda mrefu sasa amekuwa peke yake huku pombe ikigeuka faraja pekee ya moyo wake, kutoka na kukosa mapenzi ya dhati...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm-WzkcI8QQYPxyT9hvjzdGNsiWhjjCxYuN29RmsYaW2zkZ*d9eP8WIfVQcBESezcaRfsjzQckzX5PqJKl4fNpuE/MAHABA.jpg)
USIKAE NA UPWEKE MOYONI MWAKO!
HAPA kwenye Love & Life ni mahali sahihi pa kuongeza ufahamu kuhusu mambo ya uhusiano na mapenzi. Naamini kila siku umeendelea kuelimika kupitia hapa. Yes! Leo nitazungumzia juu ya kuweza kuushinda upweke katika moyo wako. Natambua kuna baadhi ya wanawake au wanaume wanakaa kipindi kirefu bila ya kutamkiwa kuwa wanapendwa, kutokana na hali hiyo wanakuwa wapweke na wakati mwingine kufikiria kuwa wao ni wabaya na wasiostahili...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGbrlowlJVzXVk0xqgdvNMy0GXaUuk21-m*QQFKvbuuLXZ0XhpT39VErsGvAnzvWOawgsP457EG6mEUpZcrbhpLm/love.jpg?width=650)
UMECHOSHWA NA UPWEKE? ZINGATIA HAYA
NI wiki nyingine ambapo Mwenyezi Mungu ametujaalia kukutana katika busati letu la mahaba ambapo tunajadiliana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Kwa ndugu zangu ambao mpo kwenye mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, nawatakia mfungo mwema. Tukirudi kwenye mada yetu ya hapo juu, leo nataka kuzungumza na wewe rafiki yangu ambaye umri wa kuingia kwenye ndoa umefika lakini bado hujabahatika kumpata mwenzi wako ambaye...
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Ronaldo anaishi maisha ya 'upweke'
Mtayarishi wa sinema inayoangazia maisha ya mwanakandanda wa Real Madrid Cristiano Ronaldo anasema kuwa nyota huyo ni mpweke mno.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania