WEMA ALIA KUTOKUWA NA BAHATI NA MARAFIKI
![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXW4rnhpTLtlVYsLLlwO4FEPfoSGtvW9X31ke-zFpn6geCIj9Nt7rLeFVm2LSd9FhfYKhvXbpbuMTeJ3SK*HlrRl/Wema.jpg)
Na Imelda Mtema Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu amefunguka kuwa, anajua siku zote yeye hana bahati ya kuwa na marafiki kwa kuwa hata akiwa nao mwishowe kunatokea mgogoro na kuachana huku kila mmoja akimuona mbaya. Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu. Akizungumza na gazeti hili juzi, Wema alisema anaumia sana kwa kuwa mara nyingi anawapenda sana rafiki zake kwa moyo mmoja lakini mwisho wa urafiki wao huwa ni mbaya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM15 Aug
DIAMOND:MARAFIKI NDIYO WANAOMPOTEZA WEMA SEPETU
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amemtupia vijembe mpenzi wake Wema Sepetu kupitia ukurasa wake wa Instagram usiku huu akionekana kuchukizwa na tabia ya staa huyo kupenda maisha ya starehe zisizo na faida.
Katika ujumbe huo, Diamond ameandika kuwa angewaona mashabiki wa mrembo huyo wana akili na mapenzi ya dhati kama wangemshauri apunguze mashoga wapenda anasa na kuacha starehe zisizo na faida na kutumia fedha kufanya mambo ya maendeleo kuliko kuvifaidisha viwanda vya...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Wema alia kudhalilishwa mama yake
MSANII wa Filamu, Wema Sepetu, amesema kitendo cha watu waliotengeneza picha za kumdhalilisha mama yake kimemuumiza. Wema ambaye pia ni Miss Tanzania 2006, aliandika katika ukurasa wake wa instagram na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R9iQ98R69gDFMO*gZiXoNdxDUX651LMYJUB1TsvB7PHD6JJl555P9c*DhnaeftrLlBWOhyQPkDY7dn3mhrNoRsu/wema.jpg?width=650)
WEMA SEPETU ALIA KUTOPATA MTOTO!
10 years ago
CloudsFM13 Apr
Wema Sepetu alia na wanaomsakama kuwa hazai,Riyama Ally amtia moyo
Staa wa Bongo,Wema Sepetu amewafungukia baadhi ya watu wanaomsakama mara kwa mara kuwa hawezi kupata mtoto na kwamba yeye ni mgumba.
Kupitia mtandao wa Instagram Wema aliandika kuwa maneno hao yanamuumiza kama binadamu na angekuwa na uwezo wa kuzaa angezaa muda mrefu na kwamba hana na hawezi kumkufuru Mwenyezi Mungu.
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Faida ya wabunge kutokuwa mawaziri
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f1N7mrygOH0/U0-Ja3LnxVI/AAAAAAAFbdY/f-KlZqqjJXg/s72-c/MJENGWA.jpg)
KUNRADHI YA MJENGWABLOG KUTOKUWA HEWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-f1N7mrygOH0/U0-Ja3LnxVI/AAAAAAAFbdY/f-KlZqqjJXg/s1600/MJENGWA.jpg)
MJENGWABLOG HAIKO HEWANI TANGU JANA SAA TATU USIKU. NI KUTOKANA NA MATATIZO YA KIUFUNDI KWENYE DATA CENTRE NCHINI MAREKANI ZINAKOHIFADHIWA.
WAHUSIKA WALIOKO KWENYE DATA CENTRE WANAFANYA KAZI KATIKA KILA DAKIKA KUHAKIKISHA HITILAFU HIYO INAREKEBISHWA HARAKA IWEZEKANAVYO.
KWA SASA UNAWEZA KUENDELEA KUTUPATA KWENYE URSTREAM KWANZAJAMII RADIO, WEBSITE KWANZAJAMII.COM, FACEBOOK: KWANZAJAMII RADIO FANS
POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI,
MAGGID...
10 years ago
Vijimambo26 Dec
UFISADI NI SAO LA KUTOKUWA NA HOFU NA MUNGU
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2569042/highRes/907516/-/maxw/600/-/i4b85lz/-/malasusa+clip.jpg)
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa amesema watanzania...
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Ufisadi ni zao la Kutokuwa na hofu ya Mungu