Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wema Ampongeza Jokate Lakini Asisitiza Kuendelea Kumnunia

Mastaa mbalimbali wamajitokeza na kumponzea mwanadada Jokate Mwegelo kwakuweza kupambana na kufanikiwa kuingia mkataba na kampuni kutoka China , kwaajili ya kutengeneza vitu mbalimbali kama nywele, viatu, na nk ,kupitia kampuni yake ya KIDOTI.

Mwigizaji Wema Sepetu nae haukuwa nyuma kwani jana kupitia mtandaoni alimpongeza mwanadada Jokate kwa hatua aliyofikia na akasema hii ni kama changamoto kwa kila kijana na kumtakia mafanikia zaidi kwa mwaka ujao.Mwishoni akamalizia na kautani kidogo...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Irene Uwoya Aumizwa na Maneno ya Wema, Ampongeza Wema kwa Moyo Wakishujaa

“Minashindwa kuwaelewa watu ni kwanini mnapenda sana kutaka kutoa kibanz kwenye jicho la mtu wakat kipande chamti kiko kwenye jicho lako.....nimeumia sana na maneno ya wema,mtoto anapanga MUNGU sio binadamu .....Embu mwachen mtoto wa watu sasa awenaaamani kila siku mnamsema yeye mmnazan anachuma nin Ana moyo,afu kunawatu wanapenda sana kudandia mambo ........mmedandia weweee mme mtukana mtoto wawatu minaomba niwape namba ya MUNGU mumulize yeye kwanin na mumuache mtoto wa watu!sipendag...

 

11 years ago

Bongo5

Alikiba asema hana chuki na Diamond, ampongeza lakini…’sifikirii kuongea naye’

Wiki Ijayo Alikiba atakuwa mgeni katika kipindi cha runinga cha The Sporah show. Katika promo ya mahojiano yake na Sporah inayoendelea kurushwa kupitia Clouds TV, Alikiba amemzungumzia Diamond Platnumz ambaye huwa inasemekana wana-beef. katika promo hiyo Sporah amemuuliza Alikiba kama Diamond ndiye amechukua nafasi yake kwenye muziki kwa kipindi alichokaa kimya, na majibu yake yanaongeza […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Akataa Unafiki, Ampongeza Diamond

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu amefunguka kwa mara ya kwanza na kusema kuwa hata yeye anampa pongezi mpenzi wake wa zamani, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwa jitihada alizozifanya mpaka kufikia hatua ya kumaliza nyumba yake iliyopo Madale jijini Dar.

Akizungumza na gazeti la Ijumaa, Wema alisema kuwa hata kama hawako pamoja lakini kama kuna kitu cha kumsifia kwa jambo zuri alilofanya hana sababu ya kukaa kimya na akinyamaza atakuwa mnafiki.

“Nikikaa kimya bila ya kumpongeza Chibu...

 

10 years ago

GPL

WEMA AKATAA UNAFIKI, AMPONGEZA CHIBU

Imelda Mtema
Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu amefunguka kwa mara ya kwanza na kusema kuwa hata yeye anampa pongezi mpenzi wake wa zamani, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwa jitihada alizozifanya mpaka kufikia hatua ya kumaliza nyumba yake iliyopo Madale jijini Dar. Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu. Akizungumza na gazeti hili juzi, Wema alisema kuwa hata kama hawako pamoja lakini kama kuna kitu cha kumsifia...

 

10 years ago

Vijimambo

WEMA AMPONGEZA DIAMOND AMUITA KAKA

official, Diamond na Wema Sepetu hawapo pamoja tena. Habari hiyo imekuja katika siku ambayp Diamond amegeuka shujaa kwa kunyakua tuzo za tatu za Channel O. 
 Miongoni mwa watu waliompongeza kwa ushindi huo ni Wema Sepetu ambaye tumezoea akimuita staa huyo ‘my baby’, awamu hii ameitwa ‘kaka’. “Gnyt Instagramers… And Hongera tele ziende kwa kaka platnumz… I must say he did Tanzania proud,” aliandika Wema kwenye Instagram muda mfupi baada ya tuzo hizo kuisha ikimaanisha kuwa alikuwa...

 

10 years ago

CloudsFM

WEMA AMUITA DIAMOND ‘KAKA’, AMPONGEZA KUNYAKUA TUZO TATU

STAA wa Bongo,Wema Sepetu amempongeza aliyekuwa mpenzi wake Diamond Platinumz baada ya kunyakua tuzo tatu za Channel O Music Awards Jumamosi iliyopita zilizofanyika jijini Johhanesburg,Afrika Kusini.

Baada ya kusinda tuzo hizo kupitia mtandao wa Instagram Wema alimpongeza Diamond na kuandika hivi ‘’ Gnyt Instagramers... And Hongera tele ziende kwa kaka platnumz... I must say he did Tanzania proud’’

 

10 years ago

GPL

WEMA ACHEKELEA KANDAMBILI ZA JOKATE

Stori: Imelda Mtema/Ijumaa Wikienda
MBUNIFU wa mavazi na mtangazaji Bongo, Jokate Mwegelo amesababisha shosti yake, Wema Sepetu ‘Madam’ afurahi baada ya kumpelekea zawadi ya kandambili zake za Kidoti pamoja na vipodozi mbalimbali.
Jokate alisema Wema ni miongoni mwa watu ambao anawakubali kutokana na mchango mkubwa katika tasnia ya filamu Bongo, hivyo ameamua kumpelekea zawadi  ya bidhaa zake za Kidoti...

 

10 years ago

GPL

WEMA, JOKATE WAMZOMEA DIAMOND!

Musa Mateja
KAMA mbwai na iwe mbwai tu! Hiyo ndiyo kauli pekee iliyoweza kuakisi kitendo cha warembo, Wema Sepetu ‘Madam’ na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ kuamua kumzomea zilipendwa wao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ baada ya kuzidiwa tuzo na hasimu wake, Ali Kiba, Risasi Mchanganyiko lina full stori. Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheka baada Ali Kiba kuchukua tuzo ya nne kwenye Ukumbi wa...

 

9 years ago

Global Publishers

Wema, Jokate waungana kummaliza Diamond


Ali mkiba jokate na wema (2)Staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba ‘King Kiba’ na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’.

Na Musa Mateja
WAREMBO ‘classic’ ambao ni zao la Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu na Jokate Mwegelo wamedaiwa kuungana pamoja kumsapoti staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba ‘King Kiba’ ili kumfunika mpenzi wao wa zamani, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.

Ali mkiba jokate na wema (1)Wema na Jokate ambao kwa nyakati tofauti waliwahi kulitumikia penzi la Diamond, Desemba 26, mwaka huu walipanda kwenye jukwaa la Kiba na kuanza kuonyesha uwezo wao wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani