WEMA, KAJALA, AUNT WAFUNIKA TRIPLE A JIJINI ARUSHA
Kajala, Wema, Aunt na Zamaradi wakiwa katika pozi tofauti. ....Wakiwa pamoja na Mirror tayari kwa ajili ya kwenda kwenye Show, klabu ya Triple A.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcLaYvvE-ZZ8vfU5Ru8xJmnoVzeNT-59DH-NKlkIlm9baxAbGQuro3uLWiATlqAqFp*yBBFS*dhpbjJRtc5IXe6f/aibu.jpg?width=650)
WEMA, AUNT, KAJALA: AIBU YAO!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcJ8-upBMsLsMFGYDW5go9uXqjKhqLKKfBu8mtr-1-D3AFYz737rpZ8y8WxFqW7wkzkTdS4fyvh1CBymHeahjwTi/mashindano.jpg?width=650)
WEMA, AUNT, KAJALA WAFANYA MASHINDANO
10 years ago
GPLAUNT ANENA MAZITO BIFU LA KAJALA, WEMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXXIi7MchC6OSWKvtHSy077-8mMKsX01rZk6gotjJqLdWUoOx731KFIVO0eChKvOCN2a8jkuTNS4PJwaEn6lKAlz/Kajala.jpg)
AUNT, KAJALA WAMSENG’ENYA WEMA
10 years ago
Bongo Movies17 Mar
Aunt Ezekiel Aongea Mazito Bifu la Kajala, Wema
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa anatamani aone mastaa wawili ambao wana bifu kali, Wema Sepetu na Kajala Masanja wanamaliza tofauti zao kwani maisha ni mafupi.
Akizungumza na gazeti na gazeti la Ijumaa Wikienda, Aunt alisema kati ya mabifu ambayo angependa yaishe ni la Wema na Kajala kwani wapo wasanii wamefariki dunia wakiwa na bifu huku wale waliobaki ambao walikuwa na mabifu nao wakitamani waamke walau mara moja wamalize tofauti zao lakini haikuwezekana.
“Jamani...
11 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala
Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)
10 years ago
Michuzi09 Mar
WEMA SEPETU ATEMBELEA STUDIO ZA RADIO 5 JIJINI ARUSHA
![SAM_1388](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/bNB4fGEUMkAbw-JmcuYrVn9RQ5cx9fQ0SsovZQ54oOmWWMY3-FgcdPFLJaLiZb6Mw1LvOGKGoiAmpCZqLzuOLQvAv4AVIXUiEFWj5eOYJ6Q1MO0=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/sam_1388.jpg)
Wema Sepetu akiwa ndani ya studio za Radio 5 jana mara baada yan kufanya ziara fupi mjengoni hapo akielezea pia kuhusu show yake ya black and white party iliyofanyika jana usiku tarehe 7/3/2015 jijini Arusha kushoto ni mtangazaji mahiri wa kituo hicho Wilfredy akiwa anafanya kipindi na mwanadada huyo, Wanaonekana pichani ni team Wema.(Habari Picha na Pamela Mlollel wa jamiiblog)
![SAM_1387](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/ifBySuS1_ijaxr0dtmdVV4XTJPGUIuNblAwbHIuZVbqBIdq1lGglEArRtl4d6RJzwuiSmI4969tLNfzfmdVP3J0MS4DHWjV8Mjg4GR-rWFapq0E=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/sam_1387.jpg)
Wema Sepetu akiwa anaeleza furaha yake yakuwepo jiji Arusha ambapo amesema jiji la Arusha ni miongoni mwa...