Wema: Kwasasa Nimepoa, Nataka Kuolewa!!
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Wema Sepetu amefunguka na kusema kwasasa amepoa na kunavitu vingi anataka kuvifanya ikiwemo kutaka kuolewa.
Mwnadada Wema aliyasema hayo kwenye kipande kidogo cha video ambacho kinasambaa mtandaoni, kikiwaonyesha Wema na meneja wake Martin Kadinda, ambapo Kadinda anamuuliza Wema kwanini siku hizi amepoa sana, na ndipo Wema akamjibu kwa kuwa anavitu vingi anataka kufanya na sasa hivi kwani anataka kuwa mke wa mtu. Ipo hivi;
Kadinda alimuuliza Wema, “mbona...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWASTARA: NATAKA KUOLEWA NA BILIONEA
10 years ago
Bongo Movies04 Mar
FINALLY! Wema Sepetu aamua 'kuolewa'. Aenda kumtambulisha mume nyumbani kwao.
Kwa mujibu wa tovuti ya Mange, inasemekana mwanadada Wema Sepetu ameamua kufanya kweli na kwenda kumtambulisha mume wako mtarajiwa nyumbani kwako Singida tayari kwa mipango ya ndoa.
Kupitia picha iliyowekwa kwenye tovuti hiyo, inayomuonesha mwanadada Wema akiwa na pete ya ndoa kidoleni anayodaiwa kuvalishwa na mchumba wake huyo ambaye wapasha habari wa hapa mjini wanadai ni yule tajiri wa Uganda - Ivan aliyekuwa mume wa mwanadada Zari ambaye kwa sasa ni mpenzi wa ex wa zamani wa Wema –...
10 years ago
Bongo Movies07 Apr
Lulu: Nilishalia Sana, Nishaumia Sana Lakini Kwasasa…….
Staa mrembo kutoka Bongo Movies Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kutoboa kile alichokiita kama faraja yake kwa hivi sasa.
“Faraja YANGU...Nishalia sana,nishaumia sana lakini kwa sasa nikiona mmoja kati ya hawa analia au kuumia ndo kitu kinachoweza kuniumiza zaidi...!MUNGU awatunzeeee”-Lulu aliandika hayo jana usiku kwenye ukursa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya mama yake na mdogo wake.
Kufuatia andiko hilo komenti za mashabiki wengi zilielekea zaidi kumzungumzia kifo cha Steven...
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Nataka kulewa
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Nataka kulewa 2
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
MKALI: Nataka kucheza kimataifa
WAHENGA hunena kwamba mbuyu ulianza kama mchicha. Hiki ndicho ninachotaka kukieleza katika makala hii kwa mwanasoka chipukizi mwenye matarajio ya kufika mbali, George Mkali. Akiwa ni mwanasoka chipukizi na anayeonyesha...