WEMA: NAMCHUKIA HALIMA KIMWANA MPAKA BASI
![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH6jFyQKicHSCr96SOdNjI*SIq6n4VXW1MjnTY-XTH7CCsXauxeUPMlUcBzF-30nsIp0fTFlaTGVgugIl6f0X8TB/wema.jpg)
Na Mayasa Mariwata na Shani Ramadhani Wema Sepetu a.k.a Beautiful Onyinye amekula kiapo cha kumchukia dada wa hiyari wa mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnum’, Halima Kimwana ambaye wamekuwa na bifu kwa kipindi kirefu huku sababu zikiwa hazijulikani. Wema Sepetu a.k.a Beautiful Onyinye. Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, Wema alisema ugomvi wake na Halima Kimwana hautaisha na siku zote...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGjvJOTVQRSxkJEacwlKdIQvpGEbtBgipE0YYJx-VGmZScpGXoYxHmWoXGKSRseZ3KnY*dzdNZRyqUkbktFpuzTZ/Kimwana.jpg)
HALIMA KIMWANA: SIHUSIKI UHUSIANO WA DIAMOND NA ZARI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGjKA0QZDg*-S0GSahuxyVSI1Bm50YWbgtZIDMn9-heNUWmCik9X0RH9wRqbaGQQBXZmQv2nb0uwuw4CzQQHt8Ey/Shamsa.jpg)
SHAMSA: NITAZAA MPAKA NIAMBIWE BASI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DTZOc3BtSIqP*N8pq29i2pjZD53Gr9DP0ec8YI1a7DDCZSNNhttkhAREywFc9VlBJXHYL4u2jojXUNWCk1S5Cqi/aunt.jpg?width=650)
AUNT: NITAMSAPOTI WEMA MPAKA KIELEWEKE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtEwVpjb4YaAeUk0WJSL6jIKlOWUEgh43Ezy3qPMTHAVSpwa9bWcDLdi*hY*lQ2BJpqmqVhHnaZ7Il9FnlYBPd8Qj/FRONTRISASI.gif?width=650)
WEMA: SKENDO ZA NGONO BASI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVfG5Vg0fZ-zdGsMPTDTFyqp7kXgc9gwGfDcytvsRS0So-OSLQkvlVyB48MSIRsb9HoLfmfmneayiWLlbwAXxF30/MAMAWEMA.jpg?width=650)
ZA CHEMBE LAZIMA UKAE: MAMA WEMA HEBU KUWA MZAZI BASI!
9 years ago
Bongo Movies15 Nov
Bozi Namchukia Jokate kwa Sababu ya Kuwa na Ali Kiba!
KAMA kawaida ya kolamu hii kuwaletea wasanii mbalimbali na kuwabananisha na maswali kedekede ambayo yamekuwa yakiwaumiza vichwa wasomaji wa gazeti hili kwa kushindwa kuelewa undani wake.
Alhamisi ya leo tunaye msanii wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ ambaye amefungukia mswali mbalimbali kama ifuatavyo:
Msomaji: Nakukubali sana hauna makuu, ila nilisikia umetembea na mastaa wengi, ni kweli na huwa unatumia kinga?
Bozi: Kama ulivyosikia ndivyo ilivyo, kinga ni muhimu huwa nazingatia sana...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eAtj2ka0X6I/VV2-r_bpDQI/AAAAAAAHY0g/mct5bNOez5I/s72-c/edina.jpg)
Limso, Aset kumsaka Kimwana wa Twanga 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-eAtj2ka0X6I/VV2-r_bpDQI/AAAAAAAHY0g/mct5bNOez5I/s640/edina.jpg)
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Aset, Asha Baraka, alisema kampuni hizo zitashirikiana kuandaa shindano hilo ambako hivi sasa wameanza kusaka washiriki na habari zaidi zitatolewa hivi karibuni.
“Shindano hili ambalo tumepanga lifanyike baadaye mwaka huu jijini Dar es Salaam,...
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...