Limso, Aset kumsaka Kimwana wa Twanga 2015
KAMPUNI za burudani nchini, Linda Media Solution (Limso), na The African Stars Entertainment (Aset), zimeunganisha nguvu katika kuandaa shindano la kumsaka Kimwana wa Twanga Pepeta 2015.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Aset, Asha Baraka, alisema kampuni hizo zitashirikiana kuandaa shindano hilo ambako hivi sasa wameanza kusaka washiriki na habari zaidi zitatolewa hivi karibuni.
“Shindano hili ambalo tumepanga lifanyike baadaye mwaka huu jijini Dar es Salaam,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWEMA: NAMCHUKIA HALIMA KIMWANA MPAKA BASI
10 years ago
GPLHALIMA KIMWANA: SIHUSIKI UHUSIANO WA DIAMOND NA ZARI
10 years ago
MichuziUpdate ya msiba wa MAREHEMU REHEMA RAMADHANI BARAKA, mdogo wake mwenyekiti wa ASET BARAKA MSIILWA
Ifuatayo ni update ya msiba wa mdogo wake Mwenyekiti wa African Stars Entertainment (ASET) Baraka Msiilwa, Marehemu Furaha Ramadhani Baraka, kilichotokea wikiendi iliyopita huko Ubelgiji.
Taarifa ni kwamba mwili wa Marehemu mdogo wetu Furaha unaondoka Brussels kesho usiku kwenda Zurich. Utalala Zuruch na kusafirishwa Jumatano Asubuhi kwa ndege ya shirika la Swiss Air, na unatarajiwa kuwasili Dar es salaam siku hiyo hiyo ya Jumatano mnamo saa mbili usiku
Mazishi yamepangwa kufanyika siku ya...
10 years ago
Habarileo28 Jan
Kariakoo wafunga maduka, kumsaka bosi wao
WAFANYABIASHARA wa Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam, wameandamana hadi kituo cha Polisi cha Kati, wakidai wapewe taarifa wapi alipopelekwa Mwenyekiti Taifa wa Jumuiya ya Wafanyabiashara, Johnson Minja.
9 years ago
BBCSwahili28 Oct
Ndege 11 zanaswa katika operesheni ya kumsaka Guzman
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Vikosi vya Marekani vyawasili Uganda kumsaka Kony
10 years ago
Dewji Blog09 Jan
UN yataka kipaumbele kumsaka binti mwenye albinism aliyetekwa
Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akimtambulisha Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) alipoitishia mkutano na waandishi wa habari jijini Mwanza mara baada kuhitimisha ziara zake Kanda ya ziwa. Kushoto ni Mshauri wa masuala ya haki za binadamu kutoka ofisi ya mratibu mkazi wa UN Tanzania, Bi. Chitralekha Massey.
Na Mwandishi wetu,...
11 years ago
Habarileo11 Jan
Grow yatua Mwanza kumsaka Mama Shujaa wa Chakula
KAMPENI ya Grow inayotetea haki ya chakula na uzalishaji imetua jijini Mwanza kwa ajili ya kuhamasisha wanawake wakulima na wafugaji kujitokeza na kujaza fomu za kushiriki shindano la Mama Shujaa wa Chakula.
11 years ago
GPLTAMASHA LA MATUMAINI... YEMI ALADE KUMSAKA JOHNNY UWANJA WA TAIFA