WEMA: SKENDO ZA NGONO BASI!
![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtEwVpjb4YaAeUk0WJSL6jIKlOWUEgh43Ezy3qPMTHAVSpwa9bWcDLdi*hY*lQ2BJpqmqVhHnaZ7Il9FnlYBPd8Qj/FRONTRISASI.gif?width=650)
Waandishi Wetu Kufuatia kupigwa mwereka kwenye Ubunge wa Viti Maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Singida, staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amekiri kwamba kilichomponza katika kinyang’anyiro hicho ni skendo za ngono hivyo kwa sasa atakuwa makini ili asichafuke. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1I90vLJ ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgbRJrEayqaOsjNNNJ4xs382mmhb0T-ktkljcGKlH74khofRW1Q5eL1-Bns5nAciwuyT9GBcE-aa15uBxCqnItew/MASTAA.jpg?width=650)
MASTAA WANAOONGOZA KWA SKENDO ZA NGONO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH6jFyQKicHSCr96SOdNjI*SIq6n4VXW1MjnTY-XTH7CCsXauxeUPMlUcBzF-30nsIp0fTFlaTGVgugIl6f0X8TB/wema.jpg)
WEMA: NAMCHUKIA HALIMA KIMWANA MPAKA BASI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVfG5Vg0fZ-zdGsMPTDTFyqp7kXgc9gwGfDcytvsRS0So-OSLQkvlVyB48MSIRsb9HoLfmfmneayiWLlbwAXxF30/MAMAWEMA.jpg?width=650)
ZA CHEMBE LAZIMA UKAE: MAMA WEMA HEBU KUWA MZAZI BASI!
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfbIEIcZp*y2eb1*kzoYYRH1cs-vMdAqYjV4Rt5Mr0n8O5Cz7XrK6Qsqs2BZ8cDqwuVx6sx0IqngW0zoBHLQ127D/MASOGANGE.jpg)
MASOGANGE NA SKENDO YA UTAPELI
10 years ago
Bongo Movies30 Jun
Mfungo Wamuepusha Amanda na Skendo
Staa wa bongo movies, Tamrina Posh ‘Amanda’ amesema kuwa mfungo wa mwezi wa ramadhani umemuweka mbali na skendo ambazo amekuwa akiibuka nazo mara kwa mara na ikiwezekana huo ndiyo utakuwa mwisho wake kwani kwa sasa yupo katika kipindui cha kuomba toba kwa muumba wake kwa mabaya yote aliyowahi kufanya siku za nyuma.
Akizungumza na gazeti la Filamu, Amanda alisema kwa mwezi huu hatoonekana akikatiza mitaani na nguo zilizobana kiasi cha kuonyesha maungo yake ya sehemu za siri bali...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm9sxiBOwss-sQDUhzkcs4C5D1bOHVyxgNf66aVod8b*7lMvHX5yjOMwSo10RxQnlMdpiLZDf4DAuppLxb3DiVQi/MAI.jpg)
MAIMATHA AKWAA SKENDO YA UTAPELI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzk3m2BiKwwVo*UCMi4LSOONUJXzzbSGyd1Hl5rQ3IGpcJKcfi*OX24SQxNMVV6AxQON6788nV1Jk0a*HgoAYIqW/woloper.jpg)
SKENDO YA FREEMASON YAMGANDA WOLPER