‘Wengi wanaopata msamaha wa Rais hurudi magerezani’
Ripoti mpya ya utafiti imebainisha kuwa jitihada za Rais Jakaya Kikwete kupunguza msongamano wa wafungwa magerezani kwa kutoa msamaha zinahitaji kufanyiwa marekebisho kwani zaidi ya asilimia 30 ya wanaonufaika nayo hurudi tena magerezani kwa makosa tofauti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C3a4yKmwRAE/XrPF64teG4I/AAAAAAALpWk/97uIbJQwWLkvAwXuwFZzxvuE-RRMu0P-gCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
THBUB: Msamaha kwa Wafungwa ni hatua muhimu kuzuia maambukizi ya Korona Magerezani
![](https://1.bp.blogspot.com/-C3a4yKmwRAE/XrPF64teG4I/AAAAAAALpWk/97uIbJQwWLkvAwXuwFZzxvuE-RRMu0P-gCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa Mheshimiwa Rais, Dkt. John Pombe Magufuli wa kuwasamehe wafungwa 3973 ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya maradhi yanayosababishwa na Virusi vya Korona.
Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona.
Alieleza kuwa msamaha huo ni muhimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V6DO7O2Li-M/XtNkCs7Jp-I/AAAAAAALsGQ/bChG-4D2RycpZZyMhDa0UFbIA3JJJ-JUgCLcBGAsYHQ/s72-c/Sirro.jpg)
IGP SIRRO AWATAKA WANAOACHIWA KWA MSAMAHA WA RAIS KUFUATA SHERIA ZA NCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-V6DO7O2Li-M/XtNkCs7Jp-I/AAAAAAALsGQ/bChG-4D2RycpZZyMhDa0UFbIA3JJJ-JUgCLcBGAsYHQ/s640/Sirro.jpg)
IGP Sirro amesema hayo akiwa kwenye ziara ya ukaguzi mkoani Singida ambapo alizungumza na Polisi Kata waliopo kwenye mkoa huo na kuwataka kuendelea kushirikiana na wananchi katika mapambano dhidi ya uhalifu ikiwa pamoja na kutoa elimu kwa wananchi kuacha...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cxEkbzwy32Q/XrPIDCLKNJI/AAAAAAACKMA/Zjfj3ori--I5MWF74eINExbTy8SB_oFpQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200507_113251.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI APONGEZWA KUTOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA, INASAIDIA KUZUIA MAAMBUKIZI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cxEkbzwy32Q/XrPIDCLKNJI/AAAAAAACKMA/Zjfj3ori--I5MWF74eINExbTy8SB_oFpQCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200507_113251.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa kuwasamehe wafungwa 3973 uliofanywa na Rais Dk. John Magufuli (pichani) ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona.
Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona.
Alieleza kuwa msamaha huo ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g0j9bEdvA98/XqRE7dHRs7I/AAAAAAALoLo/-3sC46dNhR8GoqshCOVd4c7H5pY6exXGACLcBGAsYHQ/s72-c/magu%252Bpic.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI MPANGO ATANGULIZA MSAMAHA WAKATI AKIMIMINIA SIFA RAIS DKT.JOHN MAGUFULI KWA UTENDAJI KAZI WAKE
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango ameomba msamaha ili kutoa ushuhuda ushuhuda wake kuhusu Rais Dk.John Magufuli ambapo amesema Baba huyu(Dk.Magufuli) ni kiongozi mwenye maono na uwezo mkubwa.
Aidha, ana kipaji cha hali ya juu cha kufanya yasiyowezekana na ni kiongozi ambaye anafahamu vema kuwa ili nchi ifanikiwe kuleta mabadiliko chanya ni lazima kuvunja kabisa...
11 years ago
Habarileo20 Mar
Wanafunzi wanaopata mikopo kuongezeka
IDADI ya wanafunzi wa elimu ya juu wanaonufaika na mikopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESB) inatarajiwa kuongezeka, mfumo mpya wa gharama halisi kwa wanafunzi utakapoanza mwaka ujao wa fedha.
10 years ago
Habarileo06 Jun
Wananchi wanaopata maji wafikia 55%
SERIKALI imesema kwamba sekta ya maji kwa kutumia mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) imeongeza wananchi wanaopata huduma ya maji kutoka milioni 15.2 Juni, 2013 hadi kufikia milioni 20.9 sawa na asilimia 55.
10 years ago
Habarileo29 May
‘Wanaopata ajali za mabasi walipwe fidia’
WAZIRI wa Sheria na Katiba, Asha- Rose Migiro amewataka Watanzania kutumia Sheria ya Madhara kudai haki zao baada ya kupata ajali ya basi.
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Mbarawa aagiza wanaopata maji wafike milioni 1 mwakani