Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WHO,kujipanga kukabili dharula ya afya

Taarifa za kuibuka kwa ugonjwa wa Ebola Africa Magharibi zimehitimisha shaka juu ya uwezo wa WHO, wa kukabiliana na dharula .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Chile yatangaza hali ya dharula

Serikali ya Chile imetangaza hali ya dharula katika mji uliokumbwa na tetemeko lenye nguvu

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkutano wa dharula waendelea Ugiriki

Viongozi wa umoja wa ulaya wamejifungia kwenye mazungumzo katika mkutano wa dharura wakijaribu wakitafuta suluhisho la Ugiriki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dreamliner yatua Glasgow kwa dharula

Ndege kubwa ya kisasa Dreamliner ikiwa na abiria 260 imetua kwa dharula katika uwanja wa ndege wa Glasgow,nchini Scotland.

 

10 years ago

Bongo Movies

Maisha ni Kujipanga-Wastara

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amesema kuwa anajitahidi kugawa muda wa kuigiza na biashara ili kwenda na kasi ya maisha inayohitaji uwekezaji zaidi

Alisema akili inatakiwa ifikirie kitu zaidi ya kimoja cha kuingiza kipato na kujiaandaa na maisha yajayo badala ya kutegemea kazi moja . Alifafanua kwamba kipaji hakizeeki, lakini itafika wakati kama binadamu umri utakwenda na utahitaji kupumzika na kuacha mikiki mikik ya filamu, hivyo kama haukujipanga mapema itakuja kuwa shida.

Alisema...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA DHARULA WA 29 WA BARAZA LA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WAENDELEA LEO JIJINI ARUSHA

Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki,Mh. Samuel Sitta akiwa katika kikao cha Nchi cha ushauri na makatibu wakuu wa Wizara hawapo pichani leo asubuhi kujiandaa na Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki baadae leo. Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Joyce Mapunjo katikati na Naibu Katibu Wizara ya Fedha Profesa Adoft F. Mkenda pamoja na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa kwanza kushoto ndugu Amatius C. Msole...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chaneta yaanza kujipanga kimataifa

MWENYEKITI wa Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta), Anne Kibira amesema baada ya kwisha kwa Lidi Daraja la Kwanza hivi karibuni ambapo JKT Mbweni ya jijini Dar es Salaam wameibuka mabingwa,...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Kurudi nyuma si kujisalimisha ni kujipanga

>Wakati Serikali ilipotangaza nia ya kuanza mchakato wa mabadiliko ya Katiba, wananchi wengi walifurahia wakijua kuwa angalau sasa yale matatizo ambayo yamekuwa yakihusishwa na udhaifu wa nyaraka hiyo muhimu yataisha.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi watakiwa kujipanga kuelekea uchaguzi mkuu

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imelitaka Jeshi la Polisi nchini kujipanga vyema kwa ajili ya kukabiliana na matukio ya uvunjifu wa amani hasa katika kipindi ambacho taifa linaelekea katika matukio muhimu likiwemo la uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani