Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wiki ya Nanenane iwe na tija

LEO Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, anazindua maonyesho ya wakulima yatakayofikia kilele wakati wa sherehe ya Sikukuu ya Wakulima maarufu zaidi kwa jina la Nanenane, Jumamosi ya Julai 8 mwaka huu huko mkoani Lindi.

Maonyesho haya maalumu hushirikisha taasisi mbalimbali zinazojishughulisha na kilimo zikiwamo pia halmashauri za wilaya. Huu huwa wakati muafaka kwa wadau wa kilimo kukutana na kubadilishana utaalamu na kuwapa nafasi wananchi kujifunza teknolojia mpya.

Ingawa kauli mbiu ya...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZA UFUNGUZI WA MAONYESHO YA NANENANE NA UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI KITAIFA INAYOFANYIKA MKOANI DODOMA

 Wanafunzi wa shule ya msingi ya  Nhinhi wiyani Chamwino wakicheza ngoma ya kabila la kigogo wakati wa Uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya Unyonyeshaji maziwa ya mama kwa mtoto kwa miezi sita yaliyofanyika katika kijiji cha Nghwenda katika mfurulizo wa wiki ya hiyo inayofanyika kitaifa mkoani Dodoma


 Baadhi ya wanawake na wanaume wakiwa na watoto wao kwenye uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya Unyonyeshaji kitaifa inayoendelea mkoani Dodoma yaliyofanyika katika kijiji cha Nghwenda kata ya Nhinhi...

 

10 years ago

Vijimambo

MAADHIMISHO YA 23 YA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA KITAIFA YAFIKIA KILELE MJINI DODOMA MWISHONI MWA WIKI

 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akitoa hotuba ya kuhitimisha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa kwenye viwanja vya Nane Nane Nzuguni Mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki.Picha na John Banda wa Pamoja Blog. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akimkabidhi zawadi Mwanafunzi Margreth Mussa wa shule ya msingi Maria de Matias baada ya kushinda shindano la kuandika insha ya lishe na unyonyeshaji wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Taso yakanusha madai ya Nanenane

Uongozi wa Chama cha Wakulima (Taso) umekanusha madai yanayotolewa na baadhi ya watu kuwa sherehe za wakulima na maonyesho ya kilimo za Nanenane, hazitafanyika mkoani Lindi kama ilivyopangwa.

 

10 years ago

Habarileo

‘Wakulima fikeni maonesho ya Nanenane’

WAKULIMA wa Kanda ya Mashariki, wameshauriwa kufika kwenye maonesho ya wakulima Nanenane yaliyotarajiwa kumalizika jana katika Uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ili kupata elimu ya kilimo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara kuzawadia washindi Nanenane

WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, imeahidi kuwapatia zawadi washindi wote wa kilele cha maonyesho ya Nanenane 2013, kabla ya kuanza yale ya Kanda ya Kati Agosti Mosi mwaka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maonesho nanenane kuboresha kilimo TZ?

Mkulima ananufaika vipi na maonesho ya kilimo?

 

10 years ago

Pinda

Nanenane should demonstrate agricultural techniques


IPPmedia
Nanenane should demonstrate agricultural techniques - Pinda
IPPmedia
Prime Minister Mizengo Pinda has said that Nanenane exhibitions should be considered as demonstration farm of which participants of the exhibitions had an opportunity to learn new farming ideas every year. “These exhibitions are the demo-farm …

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Huduma za Tika ziwe na tija’

SERIKALI Mkoa wa Tabora imesema haitakuwa tayari kusikia wananchi wanalalamikia huduma mbovu za matibabu kwa kadi (TIKA) wakati wameshachangia fedha. Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatma Mwassa, alitoa angalizo hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani