Wote waliojiandikisha kupigakura watimize jukumu hilo
Tangu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilipotangaza kuandikisha upya wapigakura katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, tumetekeleza jukumu la kuwahamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jan
Lowassa asema kulinda amani jukumu la wote
10 years ago
Habarileo16 Jun
Mwandosya ataka wengi wajiandikishe kupigakura
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya amesema wingi wa wadhamini wanaojitokeza kudhamini wanaCCM wanaowania kuteuliwa na chama chao kupeperusha bendera katika Uchaguzi Mkuu ujao, wahamasishwe pia kujiandikisha katika Daftari la Wapiga Kura.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-v-m52JVDxTA/Vh36te-WihI/AAAAAAAAF_s/SWjD_5vOIrM/s72-c/rc.jpg)
JUMLA YA WATU 526,006 MKOANI IRINGA KUPIGAKURA UCHAGUZI MKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-v-m52JVDxTA/Vh36te-WihI/AAAAAAAAF_s/SWjD_5vOIrM/s640/rc.jpg)
10 years ago
MichuziFILIKUNJOMBE ATAKA VIONGOZI WA DINI KUWAOMBEA WABUNGE WATIMIZE AHADI ZAO
Na Matukiodaima BLoG
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amewaomba viongozi wa dini nchini kuendelea kuwaombea viongozi wa serikali wakiwemo wabunge ili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fYfFlYyWJ78/Xmey9N_Q76I/AAAAAAALie4/OvY-1_C0c40YczbRSUou36U5jJTL15T4ACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0002.jpg)
MADEREVA BODABODA KARATU WATAKIWA KUACHA MABINTI WASOME, WATIMIZE NDOTO ZAO
Na Woinde Shizza,KARATU
MADEREVA bodaboda wametakiwa kujali mabinti, kwa kuwaacha wasome ili watimize ndoto zao na si kuwalaghai kwa kuwapa lifti pamoja na chipsi kwa wanapofanya hivyo wanawaharibia ndoto zao .
Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Theresia Mahongo alipokuwa akihutubia katika mdahalo juu ya kupinga ukatili wa kijinsia katika uwanja wa Mnadani wilayani Karatu,mdahalo ulioandaliwa Shirika la World Education Initiative (WEI) Bantwana; waache wasome ambalo lipo chini ya...
10 years ago
GPLFILIKUNJOMBE ATAKA VIONGOZI WA DINI KUWAOMBEA WABUNGE WATIMIZE AHADI ZAO
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Waliojiandikisha zaidi ya mara moja kikaangoni
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema majina ya watu waliojiandikisha zaidi ya mara moja katika Daftari la Wapigakura, yamekabidhiwa kwa vyombo vya dola ili taratibu za kisheria zifuatwe ikiwamo kuwapeleka mahakamani.
Akizungumza katika kituo cha uchakatuaji (maandalizi) wa vitambulisho vya wapigakura jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Ramadhani Kailima, alisema sheria inawataka watakaotiwa hatihani kutumikia kifungo au kulipa...
10 years ago
StarTV02 Dec
CCM kuwashughulikia waliojiandikisha zaidi ya mara moja.
Na Sudi Shaabani, Mwanza.
Chama cha Mapinduzi CCM kimeahidi kuwachukulia hatua za kisheria wale wote watakaobainika kuwa wamejiandikisha zaidi ya mara mbili katika daftari la mkazi hali iliyosababisha zoezi la uandikishaji kutofikia malengo yake kwa asilimia mia.
Mpaka sasa CCM wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza kimewabaini watu kadhaa ambao wamehusika na tukio hilo maarufu kama mamluki na tayari wamefikishwa mahakamani kwa hatua za kisheria.
Zoezi la uandikishaji katika daftari la mkazi...
9 years ago
Dewji Blog28 Aug
Waliojiandikisha zaidi ya mara moja katika daftari la wapiga kura kuchuliwa za kisheria
Mkuu wa Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Sisti Cariah (katikati) akiwaonyesha waandishi wa habari utaratibu wa uhifadhi wa fomu za taarifa za wananchi waliojiandisha katika daftari la kudumu la wapiga kura, jana Alhamisi (Agosti 27, 2015)Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Kombwey.
Afisa TEHAMA katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Adolf Kinyelo akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu...