Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga kuvuna Sh 253 milioni

Dar es Salaam. Yanga imepanga kuvuna Sh253 milioni katika mchezo wao na Komorozine ya Comoro huku mchezaji wake Athuman Idd Chuji akipigwa Stop kuichezea timu hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YANGA KUVUNA MIL 90 CAF

Katibu Mkuu wa Yanga Bw. Beno Njovu (kulia) akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga. Kushoto ni mwakilishi wa kampuni ya SGM Bw. Francis Goitha Klabu ya Young Africans SC imeingia mkataba wa kurusha mchezo wake wa hatua ya kwanza ya mashindano ya klabu Bingwa Afrika dhidi ya timu ya Alh Ahly ya Misri kwa gharama ya dola za kimarekani elfu 55,000 sawa na mil 90/= za kitanzania kwa muda wa dakika 90. Akiongea...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

IOM Repatriates 253 Ethiopian Migrants


IOM Repatriates 253 Ethiopian Migrants
AllAfrica.com
THE International Organisation for Migration (IOM) on Friday repatriated 253 Ethiopian migrants who voluntarily decided to return to their country of origin. According to IOM Tanzanian Programme Officer Mixed Migration, Mr Charles Mkude, the migrants had ...
IOM Repatriates Over 250 Migrants From TanzaniaThe Reporter

all 2

 

11 years ago

Tanzania Daima

NHC kuuza nyumba za Kinondoni mil. 253/-

SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limezindua mauzo ya nyumba nyingine 118  zilizopo eneo la Hananasif, Mtaa wa Wakulima, Kinondoni, Dar es Salaam, ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa ujenzi...

 

10 years ago

Vijimambo

Milioni ya Yanga yamvuruga Ngassa

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa.
Na Wilbert MolandiSIRI kubwa ya kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa, kucheza chini ya kiwango imefahamika.Ngassa amekuwa kwenye kiwango cha chini msimu huu ikiwa ni tofauti na misimu mingine yote iliyotangulia.Kiungo huyo, alitua kuichezea timu hiyo kwenye msimu wa 2013/2014, kwa makubaliano ya kulipa fedha shilingi milioni 45, ikiwa ni deni la shilingi milioni 30 pamoja na faini ya milioni 15 za Simba ili aweze kuitumikia timu yake ya...

 

11 years ago

GPL

Yanga yampa Twite milioni 40

Beki wa kimataifa wa Yanga, Mbuyu Twite. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umefanikisha usajili wa beki wake kiraka Mbuyu Twite kwa dau la dola milioni 25 (sawa na shilingi milioni 40). Kiraka huyo juzi Jumatatu alisaini mkataba wa mwaka mmoja kwa ajili ya kuichezea timu hiyo itakayoshiriki Kombe la Shirikisho Afrika  na Ligi Kuu Bara. Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa beki huyo, wamefikia...

 

11 years ago

GPL

Yanga SC yailipa Al Ahly Sh milioni 16

Na Mwandishi Wetu
MABINGWA wa soka Tanzania, Yanga wamelazimika kumwaga kitita cha dola 10,000 (zaidi ya Sh milioni 16) kuwapa Al Ahly kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Jumamosi. Timu hizo zitapambana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na tayari mabingwa hao wa Afrika wametua nchini, tayari kupambana na mabingwa hao wa Tanzania waliopania kuuangusha mbuyu huo. Habari za uhakika kutoka ndani ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Eti Yanga ina mashabiki 35 milioni!

Ukibisha jeuri! Eti Yanga, sasa ina mashabiki wanaofikia milioni 35 kati ya Watanzania milioni 44 kwa mujibu wa kauli ya mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuf Manji.

 

10 years ago

Vijimambo

Milioni 100 zaiua Yanga U/Taifa

Wachezaji wa Yanga (kijani na njano) wakichakarika mbele ya wapinzani wao, Ndanda FC, katika mechi ya ligi kuu bara kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam jana Jumapili. By Khatimu Naheka Timu hiyo ambayo imesajili wachezaji wengi chipukizi na wasio na uzoefu, imewahi kukanya Dar es Salaam mara moja tu lakini walipofika kwenye Stand Kuu ya Mabasi Ubungo wakaonyeshwa uelekeo wa Mbagala ambako walikwenda kucheza na JKT Ruvu na walipotoka wakapitiliza kwao Mtwara wakabaki kuusikia tu...

 

11 years ago

GPL

Simba wavuna milioni 60, Yanga wakosa mamilioni

Kikosi cha Simba. Na Khatimu Naheka
KIKOSI cha Simba kitakomba Sh milioni 60 ambazo kiliahidiwa na uongozi wa timu hiyo iwapo kingeifunga Yanga katika mchezo wa Nani Mtani Jembe uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Wakati Simba wakijiandaa kukomba kitita hicho baada ya kuwafunga watani wao mabao 3-1, Yanga wamekosa Sh milioni 60 ambazo uongozi wa Jangwani uliahidi kuwapa wachezaji kama wataifunga Simba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani