Young Tuso adai AY na Diamond wanamfanya asite kushoot video!
Rapper anayejiita ‘Mfalme wa Temeke’ Young Tuso ameweka bayana kuwa wasanii wenzake AY na Diamond Platnumz ndio wanaomfanya ashindwe kuzifanyia nyimbo zake video. Tuso amedai kuwa ukubwa wa video zao(ubora wa video) zenye ushindani wa kimataifa humfanya aone muziki wake kuwa wa kibiashara,kutokana na kushindwa kumudu gharama za kutengeneza video zenye ubora huo kwa sababu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo530 Aug
Young Killer aanza kushoot video ya ‘Umebadilika’ na director Hefemi
10 years ago
Bongo509 Oct
Picha: Fid Q na Young Killer waingia mtaani kushoot video ya ‘13’ muongozaji ni..
10 years ago
Bongo507 Oct
Linah adai $30,000 walizompa Godfather kushoot video ya ‘Ole Themba’ zilimuuma
10 years ago
Bongo511 Feb
Chege adai kushoot video yake Afrika Kusini hakumaanishi Tanzania hakuna maeneo mazuri
9 years ago
Bongo527 Nov
Mafikizolo na Diamond kushoot video ya collabo yao December 10
![4X7A0037](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/4X7A0037-300x194.jpg)
Kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini limethibitisha kuwa video ya wimbo waliomshirikisha Diamond itafanyika December 10 mwaka huu.
Taarifa hiyo imetolewa na member wa kundi hilo, Nhlanhla Nciza kupitia Instagram baada ya kumjibu shabiki wa Diamond aliyeuliza sababu ya kuchelewa kwa wimbo huo.
“We are shooting a video with @diamondplatnumz on the 10th of December boss we know you guys have been waiting, one love.”
Wimbo huo ulifanyika mwaka jana.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge...
9 years ago
Bongo530 Oct
Diamond na Mafikizolo kushoot video ya collabo yao ya 2014, mwezi ujao
![mondi na mafikizolo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/mondi-na-mafikizolo-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo504 Dec
Picha: Diamond amleta Godfather Dar kushoot video zake ‘kimya kimya’
![12298834_430293703831416_1645961294_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12298834_430293703831416_1645961294_n-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ameamua kumleta muongozaji wa video zake, Mike Ogoke maarufu kama Godfather na timu yake kuja kufanya video zake jijini Dar es Salaam.
Diamond akiwa na msaidizi wa Godfather, Mike Dube jijini Dar
Muongozaji huyo na timu yake ipo jijini Dar kwa siku ya tano tayari na siku zote hizo imekuwa ikifanya kazi. Ofcourse Diamond na Godfather hawajasema chochote kuhusiana na hilo lakini msaidizi wake Mike Dube ameumwaga ubuyu.
Kwenye Instagram, Dube amepost picha ya pontoni la...
10 years ago
CloudsFM01 May
11 years ago
Michuzi18 Feb