Zahanati ya ebola Monrovia yaporwa
Kituo kilichotengwa cha ebola mjini Monrovia, Liberia, chavamiwa na wagonjwa watawanyika
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/75578000/jpg/_75578512_bn-448x252.jpg)
Seven die in Monrovia Ebola outbreak
11 years ago
Habarileo04 Feb
Familia ya Nyerere yaporwa kiwanja
FAMILIA ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, imeporwa kiwanja ilichokuwa inamiliki na anayedaiwa kuwa mporaji ameanza ujenzi ambao unafanyika chini ya usimamizi wa walinzi wa miraba minne. Mtoa habari kutoka familia hiyo (jina limehifadhiwa), amesema kiwanja kilichoporwa kiko Msasani Beach karibu na makazi ya mjane wa Mwalimu, Mama Maria na ni namba 778.
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Sasa Jeshi lazuia watu kuingia Monrovia
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0im5XrYR-po/XkwQYLEhSbI/AAAAAAALeF0/Uu3ZyBNrG_oF5dEfkHgNP9JEkpTPPzl-ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WANANCHI WAFURAHIA UJENZI WA ZAHANATI
Wananchi wameonyesha kufurahishwa na kitendo cha Serikali kuendeleza ujenzi wa Zahanati ambazo zilisimama ujenzi kwa muda mrefu.
Hayo yamejitokeza kwenye ziara aliyoifanya Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu ya kufuatilia ujenzi wa Zahanati ya Mitondi iliyopo Kijiji cha Mitondi B kata ya Kitama pamoja na Zahanati ya Miuta iliyopo Kijiji cha Miuta kata ya Miuta ambapo alikuta ujenzi ukiendelea kwa kasi hali inayowafurahisha Wananchi kiasi cha kuamua kujitoa...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
“Huduma za afya zahanati zimeboreshwa’
SERIKALI imesema imeimarisha huduma za afya hadi ngazi za zahanati, ili kuokoa vifo visivyo vya lazima. Pia imeweka mikakati ya kuhakikisha mtoto, hususani wa kike anapata haki za msingi ikiwemo...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Zahanati kufungiwa umeme wa jua
ZAHANATI zilizopo wilayani Igunga zinatarajiwa kufungwa umeme wa jua ili kuwaepusha wananchi kuchangia mafuta ya taa wakati wanapohitaji huduma nyakati za usiku katika zahanati hizo. Akizungumza na wananchi wa Kijiji...
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Zahanati Ibutamisuzi kupatiwa solar
MKUU wa Wilaya (DC) ya Igunga, Elibariki Kingu, ameahidi kuipatia Zahanati ya Ibutamisuzi iliyopo Kata ya Mbutu umeme wa jua (solar). Kingu alitoa ahadi hiyo juzi alipofanya ziara katika Kijiji...
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Shirika kujenga zahanati Kitumbi
SHIRIKA la Atomtek Nuclear Energy Track limeahidi kujenga zahanati katika Kijiji cha Kitumbi, Kata ya Mkata, Handeni, Tanga. Kwa sababu hiyo ujenzi wa zahanati hiyo utawanufaisha wakazi wa Mkata na...
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Zahanati kugharimu mil. 150/-
MANISPAA ya Kinondoni imetenga sh milioni 150 kwa ajili ya ujenzi wa zahanati katika Mtaa wa Saranga uliopo katika Jimbo la Ubungo. Taarifa hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana...