Shirika kujenga zahanati Kitumbi
SHIRIKA la Atomtek Nuclear Energy Track limeahidi kujenga zahanati katika Kijiji cha Kitumbi, Kata ya Mkata, Handeni, Tanga. Kwa sababu hiyo ujenzi wa zahanati hiyo utawanufaisha wakazi wa Mkata na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Wananchi wa Ibaga kutumia milioni 88,703,000/= kujenga Zahanati
Majengo ya zahanati yanayoendelea kujengwa na mara yatakapokamilika yanatarajia kugharimu jumla ya shilingi 88,703,000/= na litawahudumia wakazi 5,190 wanaoishi katika kaya 865.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly,Mkalama
WANANCHI wa Kijiji cha Ibaga,tarafa ya Kirumi,wilaya ya Mkalama,Mkoani Singida wanatarajia kutumia jumla ya shilingi 88,703,000/= kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa zahanati ya Kijiji hicho iliyoanza kujengwa mwaka 2013.
Hayo yamesemwa na afisa...
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Dkt Fenella Mukangara ahaidi kujenga zahanati kwa wakazi wa Kwembe
Katibu wa siasa na uenezi wa chama cha mapinduzi mkoa wa Dar es salaam Bw Juma Simba Gaddafi akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi Dkt Fenella Mukangara(kulia) na mgombea udiwani kwa tiketi chama hicho pia Bw Abeid jumanne kikoti(kushoto) wakati wa kampeni jana kwembe Dar es Salaam.
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi(CCM) Dkt. Fenella Mukangara akiongea na wakazi wa kata ya Kwembe wakati alipokuwa akinadi sera za chama chake.Dkt Fenella aliwaahidi wakazi...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aCADodFsFNc/VnpIitPrpyI/AAAAAAADEGY/hL1A0MWK4Ak/s72-c/1.jpg)
MKUU WA WILAYA YA UVINZA ASHIRIKIANA NA WANANCHI KUJENGA ZAHANATI YA KISASA KIJIJI CHA MAZUNGWE MKOANI KIGOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-aCADodFsFNc/VnpIitPrpyI/AAAAAAADEGY/hL1A0MWK4Ak/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0Plu8Z8QFAY/VnpIizIBY5I/AAAAAAADEGg/b63fPS7KUQQ/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-27OGa9R2Z74/VnpIiiJzgbI/AAAAAAADEGc/du-amjLJkxU/s640/C.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kfEga51sJjA/VnpIjd_HcLI/AAAAAAADEGk/NkxfvJZKFpQ/s640/E.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2BZSSjhT3Io/VWYXzcX5w7I/AAAAAAAHaN8/ROc9wU3yAJk/s72-c/DSCF4806%2Bcopy.jpg)
LORI LAPIGA MWELEKA LIKIJARIBU KUKWEPA GARI NYINGINE KIJIJI CHA KITUMBI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2BZSSjhT3Io/VWYXzcX5w7I/AAAAAAAHaN8/ROc9wU3yAJk/s640/DSCF4806%2Bcopy.jpg)
11 years ago
MichuziSHIRIKA LA NELICO NA MABARAZA YA WATOTO WILAYA YA GEITA WAFANYA ZIARA YA KIMAFUNZO KATIKA SHIRIKA LA KIVULINI
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Zahanati Ibutamisuzi kupatiwa solar
MKUU wa Wilaya (DC) ya Igunga, Elibariki Kingu, ameahidi kuipatia Zahanati ya Ibutamisuzi iliyopo Kata ya Mbutu umeme wa jua (solar). Kingu alitoa ahadi hiyo juzi alipofanya ziara katika Kijiji...
10 years ago
Habarileo19 Dec
Lazinduliwa jengo la wazazi, zahanati
SERIKALI imezindua jengo la wazazi, zahanati, nyumba ya watumishi wa afya na gari la kubebea wagonjwa katika wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani, vyote vikiwa vimegharimu Sh bilioni 1.2.
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Zahanati kugharimu mil. 150/-
MANISPAA ya Kinondoni imetenga sh milioni 150 kwa ajili ya ujenzi wa zahanati katika Mtaa wa Saranga uliopo katika Jimbo la Ubungo. Taarifa hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
“Huduma za afya zahanati zimeboreshwa’
SERIKALI imesema imeimarisha huduma za afya hadi ngazi za zahanati, ili kuokoa vifo visivyo vya lazima. Pia imeweka mikakati ya kuhakikisha mtoto, hususani wa kike anapata haki za msingi ikiwemo...