Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zaidi ya watu 40 wafarikii ajalini TZ

Zaidi ya watu 40 walifariki katika ajali baada ya basi na lori kugongana uso kwa uso Tanzania

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Watu 11 wafa ajalini

Watu 10 wamekufa papo hapo na mwingine kupoteza maisha alipokuwa akipelekwa hospitali baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupata ajali mkoani Simiyu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 40 wafariki ajalini Ufaransa

Watu 40 waliokuwa wakienda kutalii wamefariki baada ya basi lao kugongana na lori katika barabara moja kusini magharibi mwa Ufaransa.

 

10 years ago

GPL

WATU WATANO WANUSURIKA KIFO AJALINI MWANZA

Muonekano wa mbele wa gari hilo lililopata ajali. Muonekano wa chini ya gari baada ya kupinduka.…

 

9 years ago

Mwananchi

Watu sita wafa ajalini Mikumi mkoani Morogoro

Watu sita wamepoteza maisha baada ya gari waliyokuwa wanasafiria kugongana uso kwa uso na basi linalomilikiwa na kampuni ya Prince Muro.

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: ZAIDI ya abiria 40 Wajeruhiwa ajalini mkoano Kilimanjaro jioni ya leo

ZAIDI ya abiria 40 waliokuwa katika basi la Urio linalofanya safari zake kati ya mikoa ya Arusha na Lushoto-Tanga wamejeruhiwa vibaya baada ya basi hilo kupinduka wakati likijaribu kukwepa basi jingine katika makutano ya barabara ya kuelekea uwanja wa ndege wa kimataifa wa KIA.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneo la tukio,inaeleza kwamba ajali hiyo ilitokea majira ya saa 10 jioni jirani kabisa na kituo cha mafuta kilichopo kando ya barabara ya Moshi-Arusha wakati magari hayo yakijiandaa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi

JS76579997Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.

Na Rabi Hume, Modewjiblog na Mashirika ya Habari 

[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).

Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3)  yakilia nje ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya watu 60 wauawa Syria

Zaidi ya watu 60 wameuwawa, katika mashambulio kadhaa ya angani yaliyofanywa na majeshi ya serikali ya Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu zaidi ya 30 wauawa Afghanistan

Shambulizi la kujitoa mhanga kwenye mji ulio mashariki mwa Afghanistan wa Jalalabad limewaua watu 33 na kuwajeruhiwa wengine 100.

 

9 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya watu 90 wauawa Myanmar

Idadi ya watu waliokufa kutokana na maporomoko ya udongo katika eneo la Jade nchini myanmar imeongezeka hadi takriban watu 90.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani