Zanzibar iwache kudharau elimuÂ
KATIKA jamii nyini na nchi mbali mbali duniani zenye imani tafauti za kidini, siasa na tamaduni suala la elimu hupewa umuhimu mkubwa na halifanyiwi mzaha wala karaha. Haki hii huwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Simbachawene: Siwezi kudharau vibatari
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), ameitaka Serikali itoe tamko juu ya kauli ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene ya kuwataka Watanzania wasioweza kumudu bei...
11 years ago
Habarileo10 Feb
Watatu jela kwa kudharau amri ya RC
WATU watatu kutoka mkoani Ruvuma wamehukumiwa kila mmoja kifungo cha miezi sita jela, baada kutiwa hatiani na Mahakama kwa kosa la kuvua samaki ndani ya Ziwa Rukwa kinyume cha amri halali ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa.
9 years ago
Habarileo12 Dec
Wafanyabiashara 21 watupwa rumande kwa kudharau usafi
MKUU wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Mohamed Utaly amewaweka ndani wafanyabiashara 21 kwa saa 6 kwa kukiuka agizo la Rais la kufanya usafi na kufungua maduka kabla ya muda ulioelekezwa.
9 years ago
Habarileo05 Jan
Wachapwa faini ya mil 60/- kwa kudharau mamlaka
NAIBU Waziri wa Kazi, Ajira na Vijana, Anthony Mavunde amevitoza faini ya zaidi ya Sh milioni 60 viwanda viwili vya Lodhia Plastic Industries Limited na Sunflag (T) Ltd kwa kukiuka taratibu za kazi na kudharau mamlaka ya usalama mahali pa kazi (Osha).
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Mmomonyoko wa maadili kufikisha vijana katika hatua mbaya ya kudharau
Katibu wa CCM wilaya ya Ikungi,Aluu Segamba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Puma kwa ajili ya Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Sixtus Raphael Mapunda kuzungumza na wananchi.
KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM) Taifa, Sixtus Raphael Mapunda akitema cheche katika mkutano huo wa hadhara.
Mkazi wa kijiji cha Puma tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Seleman Nkhomee, aliuliza swali kuwa ni lini CCM itaanza kuwalipa posho mabalozi wa...
9 years ago
VijimamboViongozi wa Vyama vya Siasa Zanzibar Wakiwa katika Ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar Wakisubiri Matokeo ya Kura ya Urais wa Zanzibar