Simbachawene: Siwezi kudharau vibatari
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), ameitaka Serikali itoe tamko juu ya kauli ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene ya kuwataka Watanzania wasioweza kumudu bei...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Wajawazito Hondogo watumia vibatari
WANAWAKE wajawazito katika Kijiji cha Hondogo, Wilaya ya Bagamoyo wanaojifungulia katika zahanati ya kijiji hicho, wanalazimika kutumia mwanga wa vibatari na simu kutokana na kukosekana kwa umeme. Mwenyekiti wa kijiji...
5 years ago
MichuziMWILI WA BABA MZAZI WA GEORGE SIMBACHAWENE , MAREHEMU BONIFACE SIMBACHAWENE WAZIKWA KIJIJINI PWAGA, JIMBO LA KIBAKWE WILAYANI MPWAPWA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene na Mkewe Mariana Simbachawene, wakiweka picha ya Baba Mzazi wa waziri huyo Marehemu Boniface Simbachawene wakati wa ibada ya mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Pwaga kilichopo Jimbo la Kibakwe , wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma.
Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililohifadhi mwili wa Baba Mzazi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Zanzibar iwache kudharau elimuÂ
KATIKA jamii nyini na nchi mbali mbali duniani zenye imani tafauti za kidini, siasa na tamaduni suala la elimu hupewa umuhimu mkubwa na halifanyiwi mzaha wala karaha. Haki hii huwa...
11 years ago
Habarileo10 Feb
Watatu jela kwa kudharau amri ya RC
WATU watatu kutoka mkoani Ruvuma wamehukumiwa kila mmoja kifungo cha miezi sita jela, baada kutiwa hatiani na Mahakama kwa kosa la kuvua samaki ndani ya Ziwa Rukwa kinyume cha amri halali ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa.
9 years ago
Habarileo05 Jan
Wachapwa faini ya mil 60/- kwa kudharau mamlaka
NAIBU Waziri wa Kazi, Ajira na Vijana, Anthony Mavunde amevitoza faini ya zaidi ya Sh milioni 60 viwanda viwili vya Lodhia Plastic Industries Limited na Sunflag (T) Ltd kwa kukiuka taratibu za kazi na kudharau mamlaka ya usalama mahali pa kazi (Osha).
9 years ago
Habarileo12 Dec
Wafanyabiashara 21 watupwa rumande kwa kudharau usafi
MKUU wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Mohamed Utaly amewaweka ndani wafanyabiashara 21 kwa saa 6 kwa kukiuka agizo la Rais la kufanya usafi na kufungua maduka kabla ya muda ulioelekezwa.
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Mmomonyoko wa maadili kufikisha vijana katika hatua mbaya ya kudharau
Katibu wa CCM wilaya ya Ikungi,Aluu Segamba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Puma kwa ajili ya Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Sixtus Raphael Mapunda kuzungumza na wananchi.
KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM) Taifa, Sixtus Raphael Mapunda akitema cheche katika mkutano huo wa hadhara.
Mkazi wa kijiji cha Puma tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Seleman Nkhomee, aliuliza swali kuwa ni lini CCM itaanza kuwalipa posho mabalozi wa...
10 years ago
GPLSHILOLE: SIWEZI KUACHANA NA NUH
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Mbowe: Siwezi kumzibia Zitto
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amewataka wananchi wa Mkoa wa Kigoma kuijua historia ya mageuzi ya Mkoa huo ili kuepuka kuwalaumu viongozi wanaosimamia vyama hivyo...