Watatu jela kwa kudharau amri ya RC
WATU watatu kutoka mkoani Ruvuma wamehukumiwa kila mmoja kifungo cha miezi sita jela, baada kutiwa hatiani na Mahakama kwa kosa la kuvua samaki ndani ya Ziwa Rukwa kinyume cha amri halali ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo12 Dec
Wafanyabiashara 21 watupwa rumande kwa kudharau usafi
MKUU wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Mohamed Utaly amewaweka ndani wafanyabiashara 21 kwa saa 6 kwa kukiuka agizo la Rais la kufanya usafi na kufungua maduka kabla ya muda ulioelekezwa.
9 years ago
Habarileo05 Jan
Wachapwa faini ya mil 60/- kwa kudharau mamlaka
NAIBU Waziri wa Kazi, Ajira na Vijana, Anthony Mavunde amevitoza faini ya zaidi ya Sh milioni 60 viwanda viwili vya Lodhia Plastic Industries Limited na Sunflag (T) Ltd kwa kukiuka taratibu za kazi na kudharau mamlaka ya usalama mahali pa kazi (Osha).
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx86YQhMf4Sh1tho4B2Y*mYX05oyVF9cOvDJv6NKeF8tiiaBccQn2WivYRjuDv6BRiTb020MIMEvGhqBxvl-9gaS/waandishi.jpg?width=450)
WANAHABARI WATATU WA AL JAZEERA JELA MIAKA 7
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Simbachawene: Siwezi kudharau vibatari
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), ameitaka Serikali itoe tamko juu ya kauli ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene ya kuwataka Watanzania wasioweza kumudu bei...
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Zanzibar iwache kudharau elimuÂ
KATIKA jamii nyini na nchi mbali mbali duniani zenye imani tafauti za kidini, siasa na tamaduni suala la elimu hupewa umuhimu mkubwa na halifanyiwi mzaha wala karaha. Haki hii huwa...
9 years ago
Global Publishers15 Dec
Mbunge wa Ubungo Mbaroni kwa Amri ya DC. Makonda
Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), akipanda kwenye apelekwe kituoni.
Wananchi wakitaharuki.
Mbunge Saed Kubenea mwenye (shati jeusi) wakitofautina na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, DC. Paul Makonda (mwenye fulana ya mistari).
Hali ya sintofahamu.
Kubenea akizungumza jambo.
MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema) jana alikamatwa na polisi eneo la viwanda (EPZA) Mabibo kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.
Tukio hilo lilitokea kukiwa na mgomo wa wafanyakazi zaidi ya 1800...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-93KNme6tQ2I/Vm9iVej5hRI/AAAAAAAAXcI/QvnNdhy3d3M/s72-c/Kubenea-4-620x308.jpg)
Mbunge wa Ubungo mbaroni kwa amri ya Makonda
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Abakwa kwa amri ya wazee wa kijiji India
5 years ago
Bongo514 Feb
Agnes Masogange kukamatwa kwa amri ya Mahakama
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imetoa hati ya kukamatwa Msanii Agnes Gerald Waya maarufu kama Masogange (28), baada ya kushindwa kufika mahakamani mara kwa mara ya pili kesi yake ilipopangwa kutajwa.
Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama hiyo, Wilbroad Mashauri ametoa amri hiyo baada ya upande wa Jamhuri kudai kuwa kesi hiyo ilipangwa kutajwa lakini mshtakiwa, wadhamini na wakili wa utetezi wote hawakuwepo mahakamani.
Wakili wa Serikali Adolf Nkini alidai kuwa kesi hiyo...