ZEC yagawa shahada za kura
TUME ya uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imeanza zoezi la kugawa shahada kwa wapiga kura, ikiwa sehemu ya maandalizi ya chaguzi mbali mbali zinazotazamiwa kufanyika mwakani.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QyeM3VCSkhc/VhAAdiwPfhI/AAAAAAADALQ/nnY0BNdwdbo/s72-c/_MG_2358.jpg)
WATANZANIA WATAKIWA KULINDA SHAHADA ZAO ZA KUPIGIA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-QyeM3VCSkhc/VhAAdiwPfhI/AAAAAAADALQ/nnY0BNdwdbo/s640/_MG_2358.jpg)
Dkt Magufuli ameishauri tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kutimiza wajibu wake wa kutenda haki kwa wagombea wote wa ngazi za Uraisi,pia amewataka Wananchi wakatae kulaghaiwa...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar07 Sep
ZEC lini itatowa daftari la wapiga kura?
Kila mtu sasa hivi yuko katika kuhesabu siku zilizobaki kufikia uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Huku tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ikikesha mchana kutwa pale Bwawani kutoa na kupokea fomu za wagombea, bado tume hii inayokazi […]
The post ZEC lini itatowa daftari la wapiga kura? appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Oct
TANGAZO LA KUSITISHWA UCHUKUAJI WA SHAHADA ZA KUPIGIA KURA KATIKA AFISI ZA UCHAGUZI ZA WILAYA
TANGAZO LA KUSITISHWA UCHUKUAJI WA SHAHADA ZA KUPIGIA KURA KATIKA AFISI ZA UCHAGUZI ZA WILAYA October 10, 2015 TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR INAWATANGAZIA WANANCHI WOTE WA ZANZIBAR KWAMBA KUANZIA TAREHE 19/10/2015 ITASITISHA ZOEZI LA UCHUKUAJI […]
The post TANGAZO LA KUSITISHWA UCHUKUAJI WA SHAHADA ZA KUPIGIA KURA KATIKA AFISI ZA UCHAGUZI ZA WILAYA appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Oct
Kweli NEC na ZEC Itaibeba Tena CCM Kwakuiba Kura za Watanzania??
By Daniel Mjema, Mwananchi Taveta, Kenya. Rais Jakaya Kikwete amemweleza Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwamba Chama cha Mapinduzi (CCM), kitashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25. Rais Kenyatta kwa upande wake bila kutaja CCM, alisema […]
The post Kweli NEC na ZEC Itaibeba Tena CCM Kwakuiba Kura za Watanzania?? appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar12 Oct
WATANZANIA: Tunaiomba UKAWA Kususia Uchaguzi Iwapo NEC na ZEC itashindwa Kuweka Wazi Daftari la Wapiga Kura.
Nategemea habari hizi zitawafika Wahusika wakuu wa Vyama vya Vinavounda UKAWA.. Kama sisi no Wazalendo ambao Tuna kiu ya Mabadiliko ya Uongozi katika Serikali. Mara hii tumejitokeza Vijana wengi kutafuta Vichinjio ya Kuiondoa Serikali ya CCM […]
The post WATANZANIA: Tunaiomba UKAWA Kususia Uchaguzi Iwapo NEC na ZEC itashindwa Kuweka Wazi Daftari la Wapiga Kura. appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Habarileo21 Feb
Posho yagawa wabunge
WAKATI Bunge Maalumu la Katiba likiunda kamati maalumu ya kufuatilia suala la nyongeza ya posho za wajumbe, umetokea mgawanyiko miongoni mwa wabunge hao. Kamati iliyoundwa itafuatilia na kisha kuishauri Serikali iwaongeze posho wajumbe hao huku baadhi yao, wakipinga na kutaka wananchi wasimame kidete kuipinga.
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Nyumba ya serikali yagawa familia
NI miaka nane sasa tangu Mahakama ya Mwanzo ya Iyunga jijini Mbeya ilipoamua kuvunja ndoa ya Simbonea Kileo na Gladness Kimaro. Kuvunjwa kwa ndoa hiyo kumeigawa zaidi familia hiyo baada...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Bulyanhulu yagawa vitabu shuleni
MGODI wa madini ya dhahabu Bulyanhulu unaomilikiwa na Kampuni ya African Barrick Gold Mine uliopo katika Kijiji cha Kakola, Kata ya Bulyanhulu wilayani Kahama, umegawa vitabu 898 kwa shule za...
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
PSPF yagawa vyakula kwa watoto
MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) wakishirikiana na Ofisi ya Ustawi wa Jamii wilayani Bagamoyo, Pwani wamekabidhi vyakula katika kituo cha watoto yatima cha Amani kilichopo eneo la...