ZIARA YA KINANA WILAYA YA CHATO
![](http://1.bp.blogspot.com/-0-8WUDpye9A/VX8AXug_CBI/AAAAAAAAeaM/wH71hOrYsR4/s72-c/13.jpg)
Ataka kodi zinazo wakandamiza wananchi ziondolewe Wanachama wapya 361 wajiunga na CCM Chato mjini Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Chato ikiwa siku yake ya kwanza ya ziara mkoani Geita baada ya kumaliza ziara ya siku 10 mkoa wa Kagera.Katibu Mkuu wa CCM anazunguka nchi nzima kukagua,kuhimiza na kusukuma utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM.
Umati wa wakazi wa Chato mjini wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa akihutubia kwenye...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-p_UeRgO1nqg/VYH3TN4qxlI/AAAAAAAAetg/dSdZNdiKTtQ/s72-c/9.jpg)
ZIARA YA KINANA WILAYA YA MBONGWE
![](http://4.bp.blogspot.com/-p_UeRgO1nqg/VYH3TN4qxlI/AAAAAAAAetg/dSdZNdiKTtQ/s1600/9.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimia wakazi wa kijiji cha Kashelo kata ya Lulembera ,wilaya ya Mbogwe ,Geita.
Katibu Mkuu wa CCM yupo kwenye ziara ya kujenga na kuimarisha Chama mkoani Geita pamoja na Kukagua,Kuhimiza na Kusimamia utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya CCM.
![](http://4.bp.blogspot.com/-87ab_Cjvhyo/VYHrumkAStI/AAAAAAAAesA/xoApZgdmtyM/s1600/10.jpg)
.
![](http://3.bp.blogspot.com/-2B4cdr4EAnE/VYHk8cb7HEI/AAAAAAAAerI/vhUzR5rTvKw/s1600/13.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa Kata ya Bwelwa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-w7rgW3lSZ_k/VYHmT7O8LpI/AAAAAAAAerY/Lz5ScfLW9-0/s640/14.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupaka rangi nyumba ya mwalimu wa shule ya sekondari...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-SBKI2HyiZVI/VYnBOklk7gI/AAAAAAAAfaM/4ygpBT9U9aM/s72-c/50.jpg)
ZIARA YA KINANA WILAYA YA MISUNGWI
![](http://2.bp.blogspot.com/-SBKI2HyiZVI/VYnBOklk7gI/AAAAAAAAfaM/4ygpBT9U9aM/s640/50.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jhpbKswKzcY/VYnBaN3xsZI/AAAAAAAAfac/y1LuWQn9bYM/s640/48.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-S25hHr9KmHo/VYnBXIy1QDI/AAAAAAAAfaU/eHVll1XbSgc/s640/40.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Ziara ya Kinana wilaya ya Hai
![](http://4.bp.blogspot.com/-gBzhHSk_ltg/VRBJtIoU_RI/AAAAAAAAYzI/_LVr89Zl8EU/s1600/3.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kuchimba msingi wa darasa katika shule ya msingi Modio,Masama Mashariki wilaya ya Hai.
Shule ya msingi Modio ilikumbwa na tetemeko la ardhi ambapo vyumba viwili vya madarasa,bwalo la chakula na ofisi ya walimu viliathirika.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ai6U2GaqG64/VRBJt1uCZlI/AAAAAAAAYzQ/TDueXs1knww/s1600/4.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasili kitongoji cha Kiyungi kwenye daraja la MNEPO
![](http://2.bp.blogspot.com/-HGzK5SsiY_0/VRBJvCgRpTI/AAAAAAAAYzY/nhuGEL8L4nA/s1600/5.jpg)
Daraja la linalounganisha wilaya ya Hai katika kijiji cha Mijungweni na wilaya ya Moshi vijijini katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Q-f8WwjD8Gs/VXhzu6ILIyI/AAAAAAAAdxI/Jx0y9lKsUcI/s72-c/13.jpg)
ZIARA YA KINANA WILAYA YA MISSENYE
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q-f8WwjD8Gs/VXhzu6ILIyI/AAAAAAAAdxI/Jx0y9lKsUcI/s640/13.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OjlxYVfLPeo/VXhz1K5TxYI/AAAAAAAAdxQ/8ymHIfVoiK8/s640/12.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1SSOntzF534/VXhz9cVuu0I/AAAAAAAAdxY/orlEZUZHezg/s640/16.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita.
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%.
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Au1Jazj4Wh0/VDZwwxnq06I/AAAAAAAASJs/HIy9ZjPzGY0/s72-c/1.jpg)
KINANA AANZA ZIARA WILAYA YA MUFINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Au1Jazj4Wh0/VDZwwxnq06I/AAAAAAAASJs/HIy9ZjPzGY0/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jc3zc7vFG4I/VDZxIha-vHI/AAAAAAAASK0/P--As_adY7w/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CSCpuSebE34/VDZxLOpUZRI/AAAAAAAASK8/t0AN8xCsPyk/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GwibmMriUmI/VDZxMSs0iCI/AAAAAAAASLE/TJ6rskQX8O0/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3cEny86YBZo/VDZxQYg1raI/AAAAAAAASLU/UbeodeHLABk/s1600/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-74Nzs9OMs_g/VDZxTBx4BoI/AAAAAAAASLc/pgu34zaFhlI/s1600/8.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Kinana amaliza ziara wilaya ya Ngorongoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-WBNlfotA4wM/VQXVwDTtJXI/AAAAAAAAYI4/ux7gh9EkHBc/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kijiji cha Arash wilaya ya Ngorongoro,ambao walimueleza Katibu Mkuu wa CCM kero zao,ikiwemo tatizo la kuchomewa makazi yao na askari wa hifadhi pamoja na tatizo la maji.
![](http://2.bp.blogspot.com/-n12nfQKTJUM/VQXV4DpErOI/AAAAAAAAYJ0/HJoIeh5GoGs/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza wakati wa mkutano na Baraza la wafugaji,Viongozi wa Kata na Viongozi wa Kimila.
![](http://3.bp.blogspot.com/-j4lx9VBlsh4/VQXV42Ce1zI/AAAAAAAAYKA/V0z62w0pgxs/s1600/3.jpg)
Wajumbe wa baraza la wafugaji,viongozi wa kata na viongozi wa kimila wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Kinana amaliza ziara yake wilaya ya Mpanda
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua mradi wa ujenzi wa nyumba zinazojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa katika wilaya ya Mpanda mkoani Katavi ambapo nyumba 70 zimekamilika kati ya 90 zitakazojengwa wilayani hapo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-m56HC-mo6k8/U0-8pl3Ap6I/AAAAAAAANSQ/G7dfFfP6yoo/s1600/5.jpg)
Nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa zinazojengwa katika wilaya ya Mpanda mkoani Katavi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-_4tIZBc1rDA/U0-8sO8zWvI/AAAAAAAANSY/8NptpgUpe-M/s1600/9.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishuka kwenye ngazi baada ya kukagua mradi wa maji wa Ikorongo,Katibu mkuu ameongozana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-MmYJspYSolg/VY46CxDzuvI/AAAAAAAAf3o/Mqp0M9inyRE/s72-c/1.jpg)
KINANA AANZA ZIARA WILAYA YA NYAMAGANA KWA JOGGING
![](http://1.bp.blogspot.com/-MmYJspYSolg/VY46CxDzuvI/AAAAAAAAf3o/Mqp0M9inyRE/s640/1.jpg)
Viongozi mbali mbali walishiriki mchakamchaka huo akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Magessa Mulongo,Mbunge...