Zimamoto wajitetea moto shule ya Bayi
JESHI la Zimamoto na Uokoaji mkoani Pwani, limekiri kushindwa kufika kwa wakati kuzima moto ulioteketeza Shule ya Msingi ya Filbert Bayi iliyopo Mkuza, Kibaha, mkoani Pwani, kutokana na kuwa na magari mabovu, likiwamo lililoazimwa kutoka makao makuu Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Feb
Zimamoto wajitetea ajali ya moto Dar
10 years ago
CloudsFM12 Nov
SHULE YA FILBERT BAYI ILIVYOTEKETEA KWA MOTO
SHULE ya msingi ya bingwa wa zamani wa dunia wa mbio za mita 1500, Filbert Bayi imeteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana, imeelezwa.
Bayi akizungumza jana kwa njia ya simu kutoka Mkuza, Kibaha iliko shule niyo alisema kuwa, shule hiyo imeteketea kabisa kwa moto na hakuna kilichookolewa, lakini hakuna mwanafunzi aliyejeruhiwa.
Alisema kuwa gharama ya shule hiyo yenye wanafunzi 280 huku 69 wakiwa ni wa bweni, ni zaidi ya Sh milioni 700 na moto huo huenda ungedhibitiwa kama Zimamoto Pwani...
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Moto wateketeza mabweni, madarasa Filbert Bayi
10 years ago
GPLZIMAMOTO YAZUNGUMZIA FAMILIA ILIYOTEKETEA KWA MOTO
10 years ago
GPLWAKUU WA SHULE WALIOZIFUNGA SHULE ZAO KIMAKOSA, KUKIONA CHA MOTO
10 years ago
MichuziJeshi la Zimamoto jijini Dar latoa mafunzo ya matumizi ya Mtungi wa kuzimia moto kwa wananchi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6IUF4cG87--ykkCXVveRo6GJ2RgCjT99evgZiRKLbJrsKDHlX1BarRFBleIzteY3mQh-Kt-D2lupnIA5bgJNbK/IMG20140723WA0002.jpg?width=650)
9 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI AZANIA WAJIFUNZA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO
‘’Tayari tumeuzima’’ walisikika wanafunzi...
10 years ago
Vijimambo10 Feb
MOTO WATEKETEZA BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI IDODI, IRINGA