ZITO ALIPULIWA NA RAFIKI YAKE KIPENZI, LUSINDE PESA ZA ESCROW NAE YUMO
![](http://2.bp.blogspot.com/-nmQtdBVoynM/VHf84jcrEjI/AAAAAAACTg8/xEdTQsOhaRY/s72-c/IMG-20141127-WA0018.jpg)
Hii ndiyo barua iliyoandikwa na zito kwa ajili ya kukopa fedha hizo za Escrow kumpeleka mama yake india kutibiwa. Barua hii iliyo na vithibitisho kadhaa pamoja na kopi ya leseni ya aliyetumwa iliwasilishwa na Mbunge Lusinde Bungeni na kusomwa kisha kuikabidhi meza kuu kwa ajili ya kufanyiwa kazi.
Lusinde akichangia wakati wa mjadala huo ukiendelea Bungeni jana jioni huku akionyesha barua hiyo inayomhusisha Zito katika kashfa hiyo.
Lusinde akiendelea kuchangia huku akiwavunja mbavu wabunge kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 Jan
Kafulila: Nina bomu zito la Escrow
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kafulila-06Jan%202015.jpg)
Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila, amesema kwamba analo bomu lingine kuhusu sakata ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow.
Mbunge huyo amesema bomu hilo likilipuka litaitikisa serikali na vigogo waliohusika katika kashfa hiyo, akiwamo Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.
Kafulila amesema kutokana na...
10 years ago
Michuzi19 Dec
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Tibaijuka:''Nilipokea pesa za Escrow''
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Ajiua baada ya rafiki yake kuuawa
10 years ago
Habarileo28 Nov
TEC yazungumzia pesa za Escrow kwa maaskofu
BARAZA la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (TEC) limezungumzia sakata la maaskofu wa kanisa hilo, Methodius Kilaini na Eusebius Nzigirwa kudaiwa kupewa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow na kusema kwa sasa hawawezi kuzungumzia suala hilo kutokana na kuwa linagusa watu binafsi.
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Kasisi afariki ghafla kwa 'rafiki' yake
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Polisi adaiwa kumuua rafiki yake kwa kipigo
10 years ago
Habarileo30 Mar
Mfanya biashara Arusha adaiwa kumuua rafiki yake
MFANYABIASHARA maarufu wa madini ya tanzanite jijini Arusha, Felix Mmasi (41) anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Arusha akituhumiwa kumpiga risasi kwa kutumia silaha aina ya bastola mtu anayedaiwa kuwa ni rafiki yake na kumsababishia umauti.
11 years ago
MichuziKAMPUNI YA PROIN PROMOTIONS LIMITED YASAINI MKATABA NA MZEE YUSUPH KWAAJILI YA KUSAMBAZA FILAMU YAKE IITWAYO "NITADUMU NAE"